Nani siyo makapi wote ni makapi kwamtindo huo unao fikiri dk alihamia cdm baada ya kutemwa kura za maoni karatu miaka hiyo acha hizo hakuna mjinga hatudanganyiki
Mpaka sasa kuna shule za msingi hazina vyoo vya watoto tena wanakaa chini bila dawati leo mnadanganya watza kwamba mtatoa million hamsini kila kijiji nanyi watza mnashangilia hivi mmlogwa na nani?mamilioni ya mh.jk aliyo ahidi yako wapi na nani alipata jamani acheni ushabiki
Kuna watu hawafikiri na kama wanafikiri basi kuna matatizo kwenye vichwa vyao haiwezekani juzi tu wamepitisha kwa nguvu miswada ya sheria ya gesi isiyo na manufaa kwa wananchi leo tunadanga nywa nasi tunakubali jamani kulikoni tunamatope...au ubongo tena bila aibu kisa pesa mnayopewa na t-shirt...
Hakuna tena watanzania wa hivyo kama wapo ni wachache sana wamebaki kudanganyika Zitto na mawakala wenzio tafuteni kazi nyingine hiyo imeshakuwa dirisha siyo dili tena
Watanzania ohooooo wadanganyika miaka 54 ya utawala wa chama kimoja hivi kweli tunae ndelea kujadili habari za ccm iliyo shindwa kweli wajinga ndiyo waliwao ila ni uelewa wa watu tusiseme sana maana hii ni vita baridi kati ya wajinga na wapumbufu ambao hata wakati wa ukoloni walikuwepo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.