Mimi naishi mwanza,nahitaji kufanya biashara na mtu alie tiyari awe wa kike ama kiume,awe nje ya mkoa sio mbaya. Ninacho weza kusema biashara ya samaki na dagaa mwanza ni biashara nzuri ukiwa na watu makini ambao watashirikiana na kufikia mafanikio.changamoto ni mtaji mimi tukielewana ukiwa...
Mimi ni kijana wa kitanzania naishi mkoa Mwanza,umri wangu ni miaka 26,Elimu yangu ni ya form six,nina ombi kwa mtanzania yeyote mwenye nafasi ya kazi kwenye eneo lake na anahitaji mtendaji (mfanyakazi) mimi nipo hapa najitokeza kwako kuomba hiyo nafasi.
Kazi ni yeyote ile kikubwa ni kuwa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.