Recent content by belyz

  1. B

    si kila ane break up na wewe hakupendi katika uhusiano!!

    True,ilinitokea 3yrz ago unfortunately ye hakunielewa but thanx God coz ndo mtarajiwa wangu now. So asipokuelewa pia mh na we muelewe
  2. B

    Binti bubu anatafutwa

    Iv kwann unapenda kujiundermine mwenyewe? Kwan hajaona wasokua na ulemavu watakaomkubal kwa hali yake et ataka bubu mwenzie,booo najikuta nmekasirika et,aaargh
  3. B

    Je mapenzi yanaweza kusurvive bila kuduu (Sex).

    BIG YES Bt nadhan distance matters na vitu kama ivo
  4. B

    wanaume kujishaua

    Kwani hawa viumbe huwa wanaelewa nini wanachokitaka kwa wanawake sasa? Hata hawajielewi wengi wao.
  5. B

    Wadada kwa nini huwa amuwazi kuolewa na mwanaume bikira

    Mmmmmh! Najaribu kuwaza kipuuzi.. Tukifika chumban mi ndo nianze et fanya iv,.. Panda kidogo.. Ingiza apa.. . Boooo! Ksa na mkasa
  6. B

    Wazo la leo:

    Umaskini mubaya! Ndamuwene munyasala yikwigonga yikwiyandika iyena nige nene yoyoyo na isule nguileka! Kwel pesa mwanakharamu!
  7. B

    Jamani msaada tafadhali!nani anajua dawa ya kunuka domo ya kudumu?

    Afadhar,nltaka kpost swal kama hili mwee,kna mtu jiran yangu naona niuma i see
  8. B

    Swali lenyekuhitaji majibu ya kina juu ya mahusiano

    Mmmmh,kna vitu vingine kwa kwel vyahitaj maamuz magumu na kujtoa mhanga kwel kwel,chezea kufa eeee!
  9. B

    Ndoa.

    Eee haya maneno ayo
  10. B

    mapenzi yana raha yake kumbeee ehhhh ??????????

    apana chezea maloveeeee
  11. B

    jaman mh

    jaman muda ndo ulikuwa unanityt haya nambieni now!! Khaaa jaman ndo mwanchambaje ivo mwee!! Ok! n n hivi mi lengo langu baada ya kuwa baba mtoto simwelewi lilikuwa ni kuenjoy kujilelea mwanangu as a single mother sasa huyu mkaka ndo alonfanyanibadili mawazo tuweni siriaz jamani...
  12. B

    jaman mh

    ndauliiiii!!! ktk maisha yangu nlbahatka kktana na kjana miaka 3 ilopita tkashndana coz alkua n mnywaj (c mlev) thn m nkaja zangu chuo by th tym nlkua cngle tu.Kmbka nlshskua na friend b4 thn nkaona ka mbabaishaj iv nkamweka kando, Nkiwa first yr friend akarud kwa kas mpya mwee ktanda...
  13. B

    Wanaume sisi Part 1

    mweeee!!! haso unadhan n nyny 2 mnnaumwa uo ugonjwa? c pia 2nao cha mhm kuj2lza!!! boooo
Back
Top Bottom