Recent content by believer

  1. believer

    Katazo la Bodaboda na Bajaji Dsm litakuja na pointi 3 za mezani

    Ni kweli Mkuu maelezo marefu na kusoma soma sio mambo yetu
  2. believer

    Katazo la Bodaboda na Bajaji Dsm litakuja na pointi 3 za mezani

    Kuna wakati Godbless Lema aliwqhi kusikika akisema kazi ya Bodaboda sio kazi, kaul8 hii ilinitafakarisha sana, kwanza nilijaribu kuingia kwenye mawazo yake ili kuhukumu kwa haki. Ikumbukwe kuwa katika Jamii mtu anaweza kukushauri sio kwa jinsi inavyopaswa bali kwa jinsi yeye anavyoliona, na...
  3. believer

    Haki na Wajibu

    Kuna hili suala la Bandari linaloendelea Nchini, limekuwa lichukua sura tofauti tofauti kila kukicha, na kadri siku zinavyozidi kwenda, mambo mbalimbali yamekuwa yakijitokeza hasa mara baada ya Bunge la Bajeti kutenga muda wakati fulani siku ya Jumamosi kwa ajili ya kujadili jambo la Bandari...
  4. believer

    Usalama wa Mtu kama Peter Kibatala unawekwa vipi

    Yaaa Product ya mwaka 2006
  5. believer

    Usalama wa Mtu kama Peter Kibatala unawekwa vipi

    Changamoto sio mawakili kwa mawakili, changamoto ni yeye dhidi ya anaowashinda.
  6. believer

    Usalama wa Mtu kama Peter Kibatala unawekwa vipi

    Wewe nitakupa agizo jingine, hili sio lako
  7. believer

    Usalama wa Mtu kama Peter Kibatala unawekwa vipi

    [emoji122][emoji122][emoji122] Mungu ndio kimbilio mwisho wa siku.
Back
Top Bottom