Amecho kiongea n sahih jamaa mm niimesoma technical education ya mechanical engneering kuna shida ya usajil wa wanafunz wanaohtim technical education courses alio soma course hyo anatarajiwa kufanyq kazi mbil as teacher pia kama engneer changamoto iliyopo hawasajiliw kweny bod ya engneer (ERB)...
Sio kukaza fuvu ila nmejalibuu kukupa upana wa hiyo course uielewe usiishie kusoma kitabu kwa kuangalia cover tu ndio maan nimeileta hii changamoto tupate ushauli na solution coz each year watu wanamaliz lakin wanakataliwaa kuingia kweny sytem za kazii na ujuzii mtu anao wa engneering
Field jumlaa n tano tatu za engneering(industrial practical training IPT) tumefanya sawa na wale wa pure tena sehem moja mfn viwandan, tanesco,tamesa n.k na zingine mbili za za ualim teaching practise (TP) pia kuhus masomo hatusom basics ya engneering tumesoma masomo ya pure engneering mfano kwa...
Field jumlaa n tano tatu za engneering(industrial practical training IPT) tumefanya sawa na wale wa pure tena sehem moja mfn viwandan, tanesco,tamesa n.k na zingine mbili za za ualim teaching practise (TP) pia kuhus masomo hatusom basics ya engneering tumesoma masomo ya pure engneering mfano kwa...
Chuoni tumeuliza japo hatupew majibu ya moja kwa mojaa ni kwa nn? tunapewa majibu ya kutia moyo tuu kwamba tunalishughulikiaa but hadi now hatujapewa mrejesho japo mwanzon walituaminish tutakua as engneer kuhusu ERB wanasema tatizo lipo chuoni sio wao kuna maagizo walipewaa kama chuo kwa hio...
kama shida ni masomo ya core subject kwa nn vpnd vyotee vya mechanical engneer tunaingiaa nao wotee kweny masomo yao yotee na core subject zotee tunazisoma ispokua tumewazid ya ualim mfano kama semester inamasomo 10 ya uhandis bas sis tunakua nayo 12 yatakayo ongezeka ni mawil tuu ya ualim au...
Kwa upande wa hiyo coaurse masomo yote ya engneering unayasoma sambamba na ya walee wanao soma engneering ya kawaida ispokua utofaut unaongezewa masomo ya education field piaa unafanya tano tatu za engneering sawaa na walee wa kawaida unaeza enda viwandan kweny machine kubwa as engneer na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.