humu watu wengine wako kwa nia ya kuvunja wenzao moyo........ as if wao wako sehemu salama,,, sio lazima uandike unajojiskia....... pia kila unachokiandika jaribu kukipima tambua kuwa kuna watu wengi ambao hawajachaguliwa mpaka saa hivi, wengine wamevunjika moyo hadi sasa, sio ishu za kuropoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.