Fani ya uigizaji sasa imevamiwa na vituko,vioja na vimbwanga,nataka nitoe tofauti kidogo juu ya waigizaji wa sasa na wazamani,nadhani wengi tunamtambua mzee small,bi chau,mze onyango,mzee kipara,mwita maranya,mzee mzuzu na wengineo wengi,walikua wakifanya kazi ya maana na c rahisi kusikia yakua...