Hilo gazeti la mawio ambaro liliandika kashifa hiyo linamilikiwa na kampuni ya free media ambayo mwenye kampuni ni Mke wa mbowe...Sasa unategemea nn kama sio fitina na uzandiki..hapo.Nakuchafua mm nionekane mzurii...Na kwataharifa tu Magufuli unafikiri anafanya kazi kwa maelekezo ya magazeti na...
Kweli kabisa ..kasahau na anaongea hivyoo baada ya serikali kuamua kuchukua ushuru..na ndio maana anampigia debe Lowassa kusudi akisha ingia akampachike tena kwenye chimbo la kuchukua ushuru....
na wanafunzi wanamwita kusudi wapate pesa...coz team yake inajua kumfanyia promooo...ila yangu macho...akipata urais nahama hii nchii....kigupi anapoteza pesa tuuu...nanii amkubalii fisadiii lililokubuuu.....
Hakuna jipya kwa chadema ....kwisha kaziii....mumejawa na umimii...ukaskazinii...leo zitto kaondoka ..mnapiga kelelee sasa mlitaka afanye nn??asifanye siasa kwanii yeyee mzee kama silaa ...mwambieni mboe na slaa chama kinaanza kupolomoka ...huu mwezi haupitii utasikia mwingine kajiengua nipooo.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.