Jamani nipo single nina miaka 26 ninafanya kazi nataka mwanaume anaefanya kazi Serikalini asiwe mwalimu tu asiwe na kitambi mrefu af mweusi kwa sababu mimi mweupe awe Mkristo maana mimi pia mkristo napenda sana kusali.
Jamani naombeni ushauri nilikuwa na mahusiano na mwanaume kumbe alikuwa na mtoto hakuniambia nilivyogundua ndo akakubali kweli mtoto anae lakini mama ake mtoto hana mahusiano naye.
Nimekuja kugundua ana mahusiano naye maana kuna siku alikuwa ananitafuta ananiambia niachane na mwanaume wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.