Recent content by beauty oo1

  1. B

    Nataka mwanaume anayefanya kazi

    Mwanamke
  2. B

    Nataka mwanaume anayefanya kazi

    Umekaa kimya
  3. B

    Nataka mwanaume anayefanya kazi

    Jamani nipo single nina miaka 26 ninafanya kazi nataka mwanaume anaefanya kazi Serikalini asiwe mwalimu tu asiwe na kitambi mrefu af mweusi kwa sababu mimi mweupe awe Mkristo maana mimi pia mkristo napenda sana kusali.
  4. B

    Nilikuwa kwenye mahusiano na mwanaume ana mtoto na hakuniambia

    Jamani naombeni ushauri nilikuwa na mahusiano na mwanaume kumbe alikuwa na mtoto hakuniambia nilivyogundua ndo akakubali kweli mtoto anae lakini mama ake mtoto hana mahusiano naye. Nimekuja kugundua ana mahusiano naye maana kuna siku alikuwa ananitafuta ananiambia niachane na mwanaume wake...
Back
Top Bottom