Recent content by Beautifullgirl

  1. B

    kwanini utoe pesa nyingi kwa kununua simu?kidogo gawana na mwenzio

    Hi,nauza simu used na simu hizi hazijachakaa kabisa yani ni kama vile mpya,pia nachukua order ya simu uipendayo then nitakuletea,nazitoa marekan jimbo la san diego calfonia kwa yoyote anayependa simu used ani PM tufanye biashara na bei ni poa kabisaa Mfano iphone 4 nitakuuzia laki 3 tuu
  2. B

    TCU YATOA MAJINA YA FIRST AND SECOND SELECTION 2012/13 click here

    Je tcu watakapotoa hizo selection na nacte ndio watatoa yao au wataweka kwa pamoja
  3. B

    Anahitajika muuzaji wa duka la Dawa- Singida

    nifundisheee ntaelewa cijasomea
  4. B

    natafuta kazi ya kununua/kutoa pesa

    Uwiii nimegairi bac sitaki tenaa
  5. B

    natafuta kazi ya kununua/kutoa pesa

    Ok asante ila angalia usije kuniingiza kuzimu maana hyo takukuru kwa heruf kubwa kuna ulakin apo
  6. B

    natafuta kazi ya kununua/kutoa pesa

    K ,sema sh ww shngap and tunapeana pesa kwa njia gan and nifanye nikuamin and niaminishe napataje hyo kaz kwa asilimia ngap na shahid ye2 nan na ukivunja mashart nikufanyaje
  7. B

    natafuta kazi ya kununua/kutoa pesa

    Kawaida tu...(Tanx kwa mchangi wko
  8. B

    natafuta kazi ya kununua/kutoa pesa

    Hi kwa wote,natafuta kazi ya kununua maana saivi bila kununua hakuna kazi na nikizingatia mwaka mzima natafuta bila kupata.so nipo tayari kutoa pesa ili nipate kazi,kwaanae fahamu watu wa hvo au kama wewe ni muhusika naomba uni PM nitakutafuta,usiseme kwa nini hii pesa siifanyii biashara mpaka...
  9. B

    ninahamu sana lakini ndio hvooooo

    Asante xana allah akuzidishie
  10. B

    ninahamu sana lakini ndio hvooooo

    Me nabahati bc account yang bado inasoma
  11. B

    ninahamu sana lakini ndio hvooooo

    Asant apa bila heading ya kuhamasisha post uako haitasomwa
  12. B

    Je,maombi ya vyuo muda umeongezwa? Samahani jamani

    Mbona me diploma bado naendelea kuapply?na haijafungwa hui imekaaje?
Back
Top Bottom