Hi,nauza simu used na simu hizi hazijachakaa kabisa yani ni kama vile mpya,pia nachukua order ya simu uipendayo then nitakuletea,nazitoa marekan jimbo la san diego calfonia kwa yoyote anayependa simu used ani PM tufanye biashara na bei ni poa kabisaa
Mfano iphone 4 nitakuuzia laki 3 tuu
K ,sema sh ww shngap and tunapeana pesa kwa njia gan and nifanye nikuamin and niaminishe napataje hyo kaz kwa asilimia ngap na shahid ye2 nan na ukivunja mashart nikufanyaje
Hi kwa wote,natafuta kazi ya kununua maana saivi bila kununua hakuna kazi na nikizingatia mwaka mzima natafuta bila kupata.so nipo tayari kutoa pesa ili nipate kazi,kwaanae fahamu watu wa hvo au kama wewe ni muhusika naomba uni PM nitakutafuta,usiseme kwa nini hii pesa siifanyii biashara mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.