Recent content by Beautifull lady

  1. Beautifull lady

    JamiiForums Tanzania NADHIRI: Unapoiweka usisahau kuikamilisha na kuiondoa

    Habari@mshana Jr. Mm nilikuwa na tatizo la kutoshika ujauzito kwa mda mrefu. Mwaka Jana kwa msaada wa mwana jf mwenzetu aliniunganisha na mtaalam wa mitishamba ili kutatua tatizo langu. Hugo mtaalam alinicharge 400,000 kwaajili ya dawa hizo. Nilimpa laki NNE lkn kutokana na nilivyohangaika bila...
  2. Beautifull lady

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wanaume walio na ndoa: Wanawake wanavyopambana kujikwamua kiuchumi ndoa nyingi zinazidi kuingia matatizo

    Na hiki unachotaka kufanya ndio kinaitwa democrasia. Yani manbo mnayofundana wanaume unampelekea mkeo!!!! Aisee wewe ndio ungekuwa mume wangu ningekudharau sana
  3. Beautifull lady

    JamiiForums Tanzania Pole sana kamanda Kilewo, Joyce ni msaka pesa hana uharakati wowote

    Ni pm huo umbeya shost
  4. Beautifull lady

    JamiiForums Tanzania Naomba kijua ratiba ya treni ya TAZARA na bei zake

    Hahahahaha
  5. Beautifull lady

    JamiiForums Tanzania Naomba kijua ratiba ya treni ya TAZARA na bei zake

    Nategemea nisafiri kuelekea mbeya kwa usafiri wa treni. Kama kuna anaejua ratiba na bei zake tafadhali.
  6. Beautifull lady

    JamiiForums Tanzania Nimefungua kampuni ya Usafi, naombeni ushirikiano wenu ndugu zangu

    Ofisi ziko wapi?
  7. Beautifull lady

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda.Kweli dawa za kuondoa tatizo la upungufu wa nguvu za kiume zipozipo

    Asanteni, nimefanikiwa kupata ujauzito.
  8. Beautifull lady

    JamiiForums Tanzania Huduma ya fumigation

    Hahahahahaha
  9. Beautifull lady

    JamiiForums Tanzania Huduma ya fumigation

    Nakuja pm
  10. Beautifull lady

    JamiiForums Tanzania Nauza pump ya maji

    Bado ipo mkuu.
  11. Beautifull lady

    JamiiForums Tanzania Nauza pump ya maji

    Nauza pump ya maji ambayo nimeitumia mda mfupi. Sababu za kuuza ni kwamba generator yangu ni ndogo kuweza ku suport 1. 5hp Nipo chanika dar. Immersed pump 1. 5HP Made from Italy. Bei 280, 000 Tuwasiliane kwa 0715 033055 Only serious buyers.
  12. Beautifull lady

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda.Kweli dawa za kuondoa tatizo la upungufu wa nguvu za kiume zipozipo

    Kwa hiyo chanzo nini? Na nini kifanyike ili kuliepuka hilo tatizo
Back
Top Bottom