sidhan
sidhani kama umemuelewa mkuu, kamaanisha price ikiwa inaenda n his favor anamove SL to breakeven, hio ni kawaida kwenye fx especially unapokuwa unaswing, locking profits ni kawaida sana tu kwa proffesionals wengi
duh mkuu, kuna broker hana order kweli yani unaingia kwenye price moja kwa moja?, unataka kusema buy limit , sell limit , buy stop , sell stop zote hazipo?? yani ni kubuy na kusell tu, are you serious ,mimi nimetumia tickmill zote zipo, halafu kwenye kutafuta broker watu wanajali sana fastest...
nashindwa kuelewa kwanini umezungushia trailing stop na one click trading, au huelewi maana zake mkuu, weakness yao pekee hapo kwa nlivyoona ni 24hr support
Mkuu hizo patterns ni part ya naked trading, na sio indicators, indicators ni kama Ma, rsi, bb, na nyinginezo
, back to your question: mapros wote nliowaona wanatrade fx wanapiga naked , stock market tu ndo wanatumia indicator ya volume basiii, hivyo kwangu mimi sio lazima
Mkuu una mawazo kama yangu, nataka kumaster cypher, gatley, shark na bat patterns,,, katika pitapita zangu zote instagram kwa wasouth graph zao zote sijaona indicators zaidi ya MA basi, lets learn these patterns and trade naked
huwa nafuatilia screenshots za watu mbalimbali wanazotupia humu, ila ya ontario akipost huwa ni something else,ni wengi mnamake profits lakini ukiangalia hakuna uhalisia sababu
-- trades nyingi zinazopostiwa humu ni za pip 1 - 5 zinazoambatana na bonge moja la lot,
--ukiangalia chief ontario...
Sina haraka mkuu, i only wanted to do some research regarding huyo broker myself,as far as i know mabroker wazuri wanatoza some fees, bure ni gharama,, ila i understand why hawezi kumuanika hapa,
mkuu usitufanyie hivo, tutajie jina la broker wako tafadhali , hapo umesema mambo ya germany stock index, ukitutajia na broker mwenye full vitu kama hivo itakuwa vizuri zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.