Recent content by beacon man

  1. B

    Joseph Musukuma: Kikokotoo kinawaumiza wananchi, tunatengeneza taifa la wezi

    Hayo uliyoandika ndio mkataba wao na serikali ulivyokuwa? Mkataba wa hao wazee na serikali ni kwamba wewe serikali changia 15% na Mimi mfanyakazi nachangia 5% na hizo Hela ni mali ya mfanyakazi.
  2. B

    Watumishi wa umma wapewe elimu ya kikokotoo wamechanganyikiwa

    Mzee m..s..e..nge sana wewe....unafurahia kutunziwa Hela Yako?mbona wabunge tusiwatunzie Hela zao?
  3. B

    Watanzania mlioko sasa nchini Uganda naomba Majibu ya haya Maswali yangu muhimu yafuatayo....

    Nimemshangaa Kuna Uzi kuandika humu kuwa Hela Yao karibu itufikie I mean Kwa exchange rate sasa hapa Tena analeta Uzi wa laki Tano yetu Kwa millioni ya Uganda......huyu mleta mada nilikuwa nishaanza kumuamini lakini inaonekana ni wale wale watanzania wa kupewa vitenge na ubwabwa kipindi Cha uchaguzi
  4. B

    Nimeamua sasa kuachana na ualimu na kwenda kusoma

    Sasa kama unaona dar inalipa si uje huku dar?Fanya mchakato hamia dar
  5. B

    Mnaoishi Mabwepande au Chanika na kufanya kazi Posta mnaamka saa ngapi ili kuwahi ofisini?

    Chanika mbona pazuri sana wakuu? Miaka ijayo mtapatafuta Kwa tochi
  6. B

    Kisiju mkoani Pwani watu wanaswali kuliko kazi

    Umenipa Cha kukuuliza mkuu ...huko mifugo ni sehemu sahihi Kwa malisho na wizi haupo? Nahitaji kufuga pia
  7. B

    Msaada: Nataka kufungua mgahawa kwa ajili ya mabasi ya mkoani njia ya Mbeya - Dar

    Mita mia Tano kutoka comfort mbona unapata eneo zuri tuu...hope kile kitongoji chote kina maeneo na bei siyo kubwa....nunua eneo laki maana Wa-TZ wenye maeneo ni vigeugeu sana.....utashangaa unaletewa fitna
  8. B

    TAWA ni matapeli tu hawana lolote. Natamani Hayati Magufuli angekuwa hai

    Huyo mtalii nachojua amelipia kibali na yeye amefurahi kutimiza ndoto yake ya kuua mamba mkubwa na mkongwe Kwa kiasi hicho......kosa la TAWA ni kuruhusu amuue huyo mamba ambaye wangeweza kumpromote watalii wakaja wengi kumuona
  9. B

    Mipango yangu: Miaka 10 ijayo nataka kuwa nina milioni mia tano benki

    Hiyo Hela ukiwa serious yaani kupata millioni 500 ni ndani ya miaka mitano tuu....lakini kianzio kiwe siyo chini ya million 20.......nenda songea au songwe au rukwa kalime mahindi na uwe serious na kazi
  10. B

    Mkurugenzi wa Uchimbaji Visima aondolewa kwa kutofika Hanang baada ya Mafuriko

    Aweso ni shida sana.....anapenda sifa za kijinga .
  11. B

    Bibi harusi mtarajiwa, mama yake wafa ajalini wakielekea Kilimanjaro kwenye maandilizi ya harusi yake

    Inauma sana.....lakini Kwa kufikiria kwangu huyo dada asingetakiwa kuwa dereva yeye....angemtafuta dereva mzoefu aweze kumfikisha na pia bibi harusi wa siku hizi sijui wakoje
  12. B

    Kuna watu wanadharau watu wa Arusha kwa kumuogopa huyo mtoto Ally Dangote

    Huyo dogo alikuwa ni mviziaji siyo mshambuliaji......Kwa hiyo ilikuwa ni vigumu kum-target.
Back
Top Bottom