Ndg zangu Mimi kama mdau mkubwa wa Mageuzi hapa nchini napata Mashaka makubwa na muungano wetu.Ukawa ilipoanza vyama vote vilipata baraka za vikao halali vya vyama husika lakini nimepigwa na butwaa kusikia hapa tulipofikia kumpata mgombea Urais baadhi ya vyama vimeanza kurudi nyuma on pretending...
Naomba mnisaidie jambo moja Official campaign zinatakiwa zianze lini.Ili kujiridhisha kama muda unatosha kuwabembeleza CUF.Ama tulazimishe viongozi wetu wajitoe rasmi Ukawa.Nina wasiwasi tusije kamatwa off guard na Hawa CUF wanaweza ghafla kutangaza kujitoa.
Kaingizwa kama counter attack ya Lowasa maana watakata majina ya mawaziri wakuu wote including the incumbent. So Lowassa hataweza kucomplain much maana ataambiwa look we have slash even the incumbent MP.
Sikiliza dogo hicho mnachokiita NCCR Mageuzi sijawai kuwaona mnafanya serious operation za chama.Zaidi ni Matamko ya magazetini. Hata bosi we nu Hon.Mbatia anajua hamjafanyia kazi chama.Zaidi ya kupiga kelele za magazetini na kutumika na Maadui zetu.Hivi unataka jimbo la Tarime kwa kigezo...
Watu wasibeze hiyo hoja ya benders.Ni kweli campaign materials zinaitajika in bulk na especially bendera na T.shirts.Chama kitoe ruhusa MTU yeyote aingize na kuuza kwa being rafiki.Mimi binafsi wakuniruhusu nitaingiza contana tano za bend era.T.shirts name Madera Yale ya Bawacha...
Its true kanda ya ziwa is a votes rich zone.Pia nyanda za juu ambako vuguvugu la mageuzi limekolea.Kaskazini potential area sababu 60% will support revolution. Iringa more effort is needed equally with Morogoro. Dodoma don't waste time the same to Tanga.Tabora there is hope.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.