Tamko la Umoja wa Vijana wa Baptist Tanzania kuhusu Chuo Kikuu cha Mount Meru.
Umoja wa Vijana wa Baptist Tanzania ungependa kutolea ufafanuzi kwa Wabaptist na Watanzania wote kwa ujumla kuhusu tamko lililotolewa tarehe 13/11/2018. Na kikundi cha wanaojiita wachungaji wa makanisa wanachama wa...
Rashid Chilumba
Umeandika ukweli Mtupu..sijasikia kama wametangaza wanasitisha uokoaji sababu ya Giza. Kama kuna kiongozi wa serikali ametangaza hivyo. Kesho hafai kuendelea kuwa serikalini.
Ametutia aibu
Askofu wa Kanisa la Baptist Tanzania Mch Arnold Manase pamoja na ujumbe wake, leo tarehe 12 Sept 2018 wamekutana na kufanya mazungunzo na Waziri wa Elimu Sayansi na Tecknolojia Prof Joyce Lazaro Ndalichako ofisini kwake jijino Dodoma.
Askofu Manase amesema kanisa ni mdau mkubwa wa elimu hapa...
It is of the LORD'S mercies that we are not consumed, because his compassions fail not.
They are new every morning; geeat is thy faithfulness.
Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi. Ni Mpya kila siku asubuhi.
Uaminifu wako ni mkuu.
Lam 3:23
Wembe huwa na makali haswa lakini hauwezi kukata mti.
Shoka lina nguvu sana lakini ni vigumu kwake kukata hata nywele tu za kichwa cha mwanadamu.
Kila mtu ana umuhimu wake kwa namna yake, hivyo huna sababu ya kumdharau mtu, kwa hali yake ana uwezo wa kufanya lile usiloliweza.
Tushirikiane...
Michael Nhonya (mnhonya) Tweeted:
Naunga mkono hoja ya kupeleka watumishi wa kanisa kusoma kwanza kabla hawajaongoza Makanisa.
Tunataka kuepukana na imani potofu. Ambazo nyingi husababishwa na muovu kuwapotosha watumishi, lakini zaidi kutokuandaliwa ama kusoma. Michael Nhonya on Twitter ()...
Mkutano mkuu wa 42 wa Kanisa la Baptist Tanzania Baptist Convention of Tanzania umemalizika salama jijini Dodoma.
Mch Arnold Manase - Amechaguliwa kuliongoza kanisa hilo kwa muhula mwingine.
Huku Mch Michael Nhonya akichaguliwa kuwa Katibu Mkuu Mtendaji wa Dhehebu.
Tuendelee kuwaombea ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.