Namna ya uwasilishaji wa hoja zako (ukiachilia mbali spelling mistakes na mengineyo) inaonyesha kwa kiasi gani bado elimu zetu hazijawa msaada katika maisha yetu..
Watu mnafikiri kwa dharura sana.,yaani mnawaza kuiondoa CCM, kisha mkadhani kuwa mambo mengine yataji-set yenyewe..Noooo NEVER...
Umesema sahihi, sehemu kubwa ya wasomi wetu wamemezwa na ushabiki usio na msingi na ambao hauleti tija kwa Taifa. katika kipindi kama hiki ambacho taifa linawahitaji kupindukia, wasomi wetu wako kimya kabisa nao wakiwa wanashabikia (tena bila uchambuzi0 yale ambayo yanaendelea.
Ni fedhea kwao...
Hapo kwenye RED ndipo ulipo-blow your cover..,Geology ni somo, mtu aliyesomea geology anaitwa Geologist..Mzee hata taaluma yako hauijui...??? Washa bodaboda yako kabebe vichwa, usiabishe taaluma za watu hapa.
ID tatu zimefunguliwa ndani ya wiki moja na zinaendeshwa na mtu mmoja special kwa ajili ya kampeni..acheni UJUHA wa namna hii..tumia ID yako moja itakutosha sio unabadili ID na kuja kutema mfululizo wa pumba hapa.,kama hauna hoja, ni vyema ukabaki kimya.
Swali zuri na naomba kulijibu kama ifuatavyo.
Kwanza msomi ninayemzungumzia ni mtu mwenye elimu, maarifa ama taaluma juu ya jambo fulani.
Msomi ana faida kubwa na nafasi kubwa ya kuleta mabadiliko chanya ndani ya jamii. Umuhimu wa msomi ndani ya jamii ni pamoja na kufanya kazi mbalimbali za...
Dereva boda boda anaponiambia, namuunga mkono LOWASSA kwa 100% na nayaheshimu mawazo yake na namuelewa lakini na kwa msomi pia..?
"Awe mwizi awe fisadi ntampigia kura tu " ndivyo wanavyosema waendesha bodaboda,
Hata wabeba magunia wa pale Kkoo, walisema "kama UKAWA wataweka jiwe na CCM...
Dereva boda boda anapo niambia hivi namuunga mkono 100% na nayaheshimu mawazo lakini na msomi?
"Awe mwizi awe fisadi ntampigia kura tu "
Lakini msomi kabisa uchukue nchi yako umpe MTU ambaye unamuita mwizi na fisadi na hapo hapo utegemee mabadiliko? Mimi nadhani msomi huyo kwanza atakuwa hajui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.