Recent content by Bawadsabas

  1. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume mnaharaka sana wakati wa kufanya mapenzi, na hamna ubunifu, shida ni nini?

    Kumeanza kuchangamka. Mwanaume tuna mambo mengi sana katika maisha ya leo tofauti na zamani Asilimia kubwa katika mapenzi iitokea hiyo sikumwanamke akasema anataka kushenyetwa basi atakojoa mpka wewe utashangaa ila mtake wewe sasa ndo utajua hujui... hivi aliyegundua kushenyetana alianza anzaje
  2. B

    JamiiForums Tanzania Kwanini transaction fee kati ya mabenki na mitandao ya simu ni kubwa sana?

    Kiukweli kwa muda niliokaa na app ya nmb mobile nikawa nafuatilia kilamiamala kwenye akaunt yangu. Nilichogundua ni heri utunze pesa kwenye line za simu kuliko benki yaan wana vimiamala vya ajabuajabu tena wanakukata bila kukuliza Mfano niliangalia salio nikawa na sh 80,000 siku kadhaa mbele...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Kwanini transaction fee kati ya mabenki na mitandao ya simu ni kubwa sana?

    Nilidownload app ya nmb nikawa natuma pesa kwenda mitandao ya simu nikawa naona ni rahisi sana kuliko kwenda bank Siku nikaona nifuatilie makato yakoje aseeeeeh sikuamini nilichokiona Toka wakat huo nilijiapia sitofanya huo muamala tena nitakuwa naenda bank natoa kupitia ATM kisha naweka kwenye...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Inawezekana Wanawake wana nidhamu ya pesa kuliko sisi Wanaume

    Sina ujasiri huo Pesa aliyonipatia nilimwezesha yeye mwenyewe, Hakuna mwanaume asiyetekeleza majukumu yake bila sababu, na sababu kubwa huwa ni mwanamke mwenyewe
  5. B

    JamiiForums Tanzania Inawezekana Wanawake wana nidhamu ya pesa kuliko sisi Wanaume

    Mimi wife niliisikia hii kauli mwezi tu nimemuoa (Nilisikia anaongea na dada yake kuwa ile mali XY ya familia ikiuzwa pesa yake atunziwe huko ili aone biashara ya kufanya ili siku tukiachana zimsaidie) baada ya kusikia hivyo. Nikamwambia uzuri bado mapema na hatujawa na watoto unaonaje ukirudi...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Inawezekana Wanawake wana nidhamu ya pesa kuliko sisi Wanaume

    Halafu hii kasumba ya mwanamke kujitafuta ili akiachana na mwanaume aweze jitegemea hivi wanajuaga tutaachana? Yan wamekaa kuvitavita na usishangae siku amezipata anaanza mizengwe
  7. B

    JamiiForums Tanzania Inawezekana Wanawake wana nidhamu ya pesa kuliko sisi Wanaume

    Sasa mwanamke hana matumizi kwanini ashindwe kutunza pesa ANajishughulisha anapata pesa na hana matumizi kama ni home mwanaume anasupply kila kitu. Ukimkuta mwanamke anaishi peke yake, analipa kodi anasomesha mtoto/watoto yaan kila kitu yeye halafu ukute ana pesa ndefu hivyo huyo mheshimu
  8. B

    JamiiForums Tanzania Nyakati zimeenda sana, nikikumbuka vipindi/nyimbo hizi za muziki najiona kabisa siku zimeenda sana, mambo hayako tena vile

    Siku zinakwenda sana Hongera sana wahenga wenzangu nimefurahi kuupata huu uzi nilikuwa mdau wa RFA na Kiss fm enzi hizo redio zilibamba sana Kuna muda usiku nilikuwa nakesha hasa siku za wikend kusikiliza miziki RFA hakika yakale ni dhahabu na huwezi rudi ndio ishapita
  9. B

    JamiiForums Tanzania Nyakati zimeenda sana, nikikumbuka vipindi/nyimbo hizi za muziki najiona kabisa siku zimeenda sana, mambo hayako tena vile

    Nitaweka nyimbo za kutosha humu soon ngoja niziandae.... Mwanzoni nilikuwa nikizisikiliza wife anakaa pembeni coz nyingi hazielewi ila kwa sasa naye ni mdau mpka anaomba bàadhi nizirudie MImi ni wa 90s wife ni wa 2000
  10. B

    JamiiForums Tanzania Video: Wachina wana mpango gani na nchi yetu? Kuna hii store Mikocheni wanauza kila kitu 3,000. What's going on?

    Wabongo tupige kazi soma hiii huko mwanza https://www.jamiiforums.com/threads/ujenzi-wa-daraja-la-mkuyuni-na-mabatini-mwanza-wananchi-wamkataa-mzawa-wataka-apewe-mchina-somo-tujifunze-uchapa-kazi-tusibebabe-kwa-uzawa.2328844/unread
  11. B

    JamiiForums Tanzania Video: Wachina wana mpango gani na nchi yetu? Kuna hii store Mikocheni wanauza kila kitu 3,000. What's going on?

    Niliwahi kutaka kuuziwa eapods sh 70,000 tena na rafiki yangu kabisa kilichoniokoa ni kuzitest Yan ziko full chargd 100% unaplay mzik mmoja wa dak 3 au 4 mziki unaisha na chaji muda huo huo inaisha inabidi uzirudishe earpods kwenye case yake ya kuchaji nilikimbia sikuangalia nyuma Kiukweli...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Video: Wachina wana mpango gani na nchi yetu? Kuna hii store Mikocheni wanauza kila kitu 3,000. What's going on?

    Jambo jingine watanzania sijui ni uoga au mentality zetu haziko sawa Leo unaona mwenzako anateseka ww unafurahia kwasababu mateso hayo hayako kwako siku yamekufika ndo unaanza lalamika, Unawapiga pesa ndefu watanzania wenzako unaona maisha umeyapatia leo unapigwa wewe unalalamika
  13. B

    JamiiForums Tanzania Video: Wachina wana mpango gani na nchi yetu? Kuna hii store Mikocheni wanauza kila kitu 3,000. What's going on?

    Ukienda kwa wageni ni wakweli, mfano bidhaa ile ile na inafafanana kwa kila kitu atakuambia bidhaa hii ni original inauzwa sh 200,000 na hii ni fekiinauzwa 80,000 ili wewe uchague.. Nenda kwa mbongo sasa bidhaa zote anakuambia bei sawa tena wakati mwingine atakuchoreshea ile feki so sad
Back
Top Bottom