Mpendwa haki iko mbinguni. Maslahi pamoja na mamlaka ndo kila kitu. Mtihani uko kwenye mizania ya maslahi kati ya wanasiasa. Kutafuta balance angalau kila mtu apate.
Hakika , maslahii yatatuangamiza kama taifa. Kama viongozi wa dini has mapadri na wachungaji kama wana nia nzuri na taifa letu Wasichague upande waponye taifa . Uchadema na uccm kishindania Dora ni juu ya maslahi fulani na si mambo ya haki wala mabadiliko wala usawa . Napata picha maslahi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.