Role model ni wengi na wote ni history ndo imebaki. LEGACY ✨ sasa mimi namuona Jonathan mtoto wa Mfalme sauli alikuwa sio snitch kabsa ilifikia hadi kukasilishwa na mambo ya baba yake juu ya Daudi
Big man tumekuwa tuki halifiwa kuwa hapo kitambo let's say kama miaka 50 nyuma sijataka kwenda mbali sana.
Kwamba mababu zetu mtu alipo Kuwa ni Mgonjwa alikuwa na Uwezo wa kwenda Hospital ambayo ipo umbali wa kilometers 30 na zaidi kwa miguu Kufata matibabu . Je kwa sasa si ukiskia utasema ni fix
Kiukweli naona hali harisi ni Kwamba ili upate kukijuwa kitu lazma usi struggle sana yani in short REASONING na ndo maana wana sayansi wengi ukiachana na theory Dhamira yao Kubwa ni kwenye vitendo yaani practice uvumbuzi na vitu kama ivo
Point yangu ni nin tujitahidi sana kwenye udadisi...
Katika kusoma kwangu mfalme Suleiman ni tajir wakwanza kuwepo na hakuna atakae kuja kuwepo kama yeye. Maneno ya Biblia kitabu kitakatifu.
Kwanin nasema ivo ukizungumzia utajir kwanza katika akili yako unaelewa nin?
Huyu mwamba alikuwa tajir in full kuanzia kuumbwa, hadi kila kitu
Kuna kile kisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.