wanajamvi naomba msaada kuwa lini mgombea flani atakuwa wapi na kama haipo specific bac ni visuri kila siku tupeane update nani yuko wapi ni msaada tu wadau
NAOMBA KUWASILISHA
ni jambo la wazi kuwa magufuli anapiga kazi lakini sasa mfumo uliomfanya magufuli kuwa mgombea wa ccm ndo unaomgarimu magufuli ila naona anaweza kuwa PM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.