Naamini aliekutanguliza naye kaja Ben, alidhani ataishi milele kwa nguvu alizokuwa nazo. Kumbe Mungu ni wetu sote na sisi ni viumbe wake. Sasa atapata hukumu yake kwa haki...
Hazina mashiko kabisa, Tuanze na mafuta kwanza, tozo za serikali peke yake kwa lita ni TZS 952, karibu nusu ya bei ya lita. Ubunifu umeisha hadi serikali ikitaka hela ni kuongeza tozo tu kwenye mafuta? Naskia Zambia hapo lita ya mafuta ni TZS 1700, na yanapita bandari ya daslam hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.