Wana jamiiforum wazima?
Samahani anaejua kuhusu lake/nyati cement mishara yao ipoje? na kwa wale wa masoko ( marketing) Je, wanatoa accomodation, housing, transportation? treatment and other benefit?
tafadhari anajua pls tujuzane
TAARIFA KWA UMMA
1. Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) linawatangazia vijana wa Kitanzania wito wa kujiunga na mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria Operesheni Magufuli awamu ya pili na Vijana wa Kujitolea.
2. Vijana wanaotakiwa kujiunga na mafunzo hayo ni kama ifuatavyo:
3. Vijana wa Mujibu wa Sheria...
Dereva anaendesha gari la polisi anaenda kukamata jambazi mwenye bunduki atalipwaje sawa na dereva anaeendesha gari mahakama? hujui mwingine risk ni kubwa kuliko mwenzie?
nimeitwa mara moja interview katika zoomtanzania, nimetumiwa sms za kuomba hela zaid ya 10, nimeibiwa mara moja ya election project 51,5000 asante zoom kwa kuniibia hela na jamaa anajiita aloyce shirima namba yake 0764515257 mwenye mawasiliano na TCRA tafadhari huyu tapeli kachukua hela yangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.