Huyo Wakazi yupo hai lakini ameshakufa kimuziki,Albert amefariki kitambo lkn yupo hai kimuzidi.
Kuna mdau kasema Albert alikuwa anaimba ngoma za kusifu pombe,wanawake na Drugs.
C'Mon.
Hivi ulishawahi kusikikiza hizi.
1.Masikini Wenzangu ft Mirror
2.Sikiliza ft FA,Lady Jaydee
3.A.k.a Mimi...
Jay Mo, Ulimwengu ndio Mama, Mawazo ya Jay Mo Album.
Na hits kibao (single) Featuring za kutosha, Remix za kutosha.
Mwana FA, Mwanafalsafa, Unanitega Album.
Na hits kibao (single) featuring za kutosha, Remix nyingi pia.
Ok, ok at their peaks kati ya JAY MO Na MWANA FA nani alikuwa hatari...
Wakuu kwema?
Hivi huu mstari hapa chini unapatikana kwenye ngoma gani ya FID Q. Msaada kidogo.
"Kipaji kama Ngwea, bahati mapande aliwagea, ilikuwaje waache ulaji wa majani ukamuelemea"
WADAU KWEMA? Poleni na majukumu.
Wakuu nimezitafuta hizi ngoma bila mafanikio mwenye nazo kupitia kifaa chochote naomba(simu,P.C au Compyuta n.k)
1.JAY MO FT NGWAIR&BAMBOO__NISAMEHE.
2.NGWAIR FT JAY MO,FEROOZ,SIR NATURE___MIDA MIBOVU.
3.JAY MO__HILI GAME REMIX.
4.JAY MO__MOCUMENTARY...
Wadau kwema?
Hivi ni app gani au Website gani naweza nikapata nafasi ya kupakua zile ngoma za kitambo kuanzia miaka ya 2000 huko kwenye game ya Bongo Fleva.
Mfano ngoma za kina Jay Mo,Ngwair,Ferooz,Profesa J n.k
Nyingi nimekuwa sizipati...
Kwa mfano kuna hizi ngoma mbili nimetafuta saaana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.