Ndo maana Watanzania hatupendi suala la Kadhi kujadiliwa BUNGENI wala kuzua mjadala wowote kwa WATANZANIA wapenda AMANI,hilo suala lijadiliwe na WAISLAMU wenyewe kwa sababu ni MAHAKAMa zitakazokuwa zinafuata mambo ya IMANI zaidi,kwa hiyo itakuwa ni kuruhusu SERIKALI kuingilia UHURU wa kuabudu wa...
nadhani shibuda inabidi apiganie kwa hali na mali suala la mgombea binafsi,maana huko ataweza kuruka sarakasi apendavyo,na hata atakaporuka na kupasuka utosini hakuna mtu atakae muuliza, ila anapotaka kuwa kwenye chama fulani basi ni lazima aende sambamba na misimamo ya chama husika,na asipokasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.