Naomba nikupinge kwa hii ya kwanza kuwa aliye mtumbua Kebwe ni Rais mwenyewe kwa hiyo Rais alikuwa na nguvu hiyo. Ila ingekuwa ni kiongozi mwingine akimtumbua na kwakuwa Rais hajakazimisha nguvu au majukumu kwao kisheria basi angepaswa aende mahakamani. Ila pia tumeona hata kwa enzi ya Mrema...
Ni kweli baada ya kusoma hoja ya mradi wa Arumeru kuwa ilipaswa kuwa ni shs laki moja hadi milioni kwa heka niliona kuna tatizo. Kwani kwa eneo husika hata kama ni bei ya fidia isingekuwa hiyo. Nimepata picha japo nilikuwa nimeshakuweka ktk kundi la kutetea wahusika lkn sasa nimeelewa.Asante...
Kwa mujibu wa kanuni au sheria za Bunge TBC ndio wamepewa hatimiliki ya kurusha matangazo peke yao labda ziondokewe iwe kama zamani wakati Star Tv wanarusha live bure bila hata kuweka matangazo ya biashara.Hii iko kichama zaidi kuilinda
Naomba UKAWA, Upinzani kwa ujumla na wapenda demokrasia wote waanzishe mfuko ili sisi wapendao kuangalia live bunge tuchangie ili kupunguza gharama kwa serikali. Naomba kuwasilisha
Naomba UKAWA, Upinzani kwa ujumla na wapenda demokrasia wote waanzishe mfuko ili sisi wapendao kuangalia live bunge tuchangie ili kupunguza gharama kwa serikali.
Naomba kuwasilisha
Amesema hataki kugombea mbona mnalia lia. Si mfurahi kwani mtashinda bila kupingwa au mnataka mumtumie kama ngazi? Si sasa mnauhakika na ushindi tena wa kishindo hata majimbo ambayo mlikuwa mkishindwa mtashinda? Mbona mnalialia?
Mji wa Moshi ungekuwa mchafu mara baada ya CHADEMA kuuchukua kutoka kwa CCM lakini umeendelea kuwa msafi na wa kuigwa. UKAWA hawataki uchafu na hamna chama kinautaka. Arusha leo kila kona ni safi kwani watu wameitikia wito wakati ni UKAWA kila kona isipokuwa kata moja pale kati ambayo pia leo ni...
Kweli hapa kazi tu. Alipiga kampeni kivyake bila hilo jina sisiem na sasa ni kazi tu bila ya sisiem naomba aendeshe nchi bila ya watu kumshika bega Mkuu hapo acha ni ya mzee wa chama. Sasa wataisoma namba yeye mbele kwa mbele. Kuna watu wanamsifia ili awateue !!! imekula. Kama ameweza kuendesha...
Namwomba Rais Magufuli futilia mbali mwenge wa Uhuru ambazo ni garama zisizo na msingi. Wakuu wa mikoa na mawaziri wafanye kazi ya kufungua miradi ambayo mwenge unafungua kwa garama nafuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.