Hivi mtoa post unahakili na macho ya kuona, kwanza nikwambie bila police ccm mtapata wabunge wachache sana tena kutoka maeneo yasio jielewa kama dodoma , vinginevyo ccm hakuna anayeipenda na viongozi wake
Ukitaka kugundua kuwa wabunge wa ccm haziwatshi , kipindi cha mwenda zake walisifia kweli kuwa huyu ndo rais hijwahi kutokea, amefariki wakarudi kwa mam tena ameirudisha nchi vizur
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.