Recent content by bapelana

  1. B

    PreGE2025 Ngara: Walimu Wakuu wa Shule za Wilaya ya Ngara, Wachangishana Fedha kwaajili ya Fomu ya Urais ya Rais Samia 2025 na kwaajili ya Mbunge Ndaisaba

    Mimi kwa mawazo yangu naona walimu kama hawana upeo wa kufikiria,kwan walopandishwa madaraja ni wao tu
  2. B

    Wosia wa Hayati Magufuli ”Mtanikumbuka” Unatimia

    Kwa kàwaida kanisa jpm aio wa kukumbuka hata kidogo alikua muuwaji na katiri
  3. B

    CHADEMA Haina Mtu Anayeweza Kushindana na Rais Samia katika Sanduku la Kura uchaguzi Ujao

    Hivi mtoa post unahakili na macho ya kuona, kwanza nikwambie bila police ccm mtapata wabunge wachache sana tena kutoka maeneo yasio jielewa kama dodoma , vinginevyo ccm hakuna anayeipenda na viongozi wake
  4. B

    Wanaozunguka nchi nzima kushawishi umma ukubaliane na mkataba mbovu wa DP World ndio hao hao watakaosema mama anaupiga mwingi tukiachana nao

    Ukitaka kugundua kuwa wabunge wa ccm haziwatshi , kipindi cha mwenda zake walisifia kweli kuwa huyu ndo rais hijwahi kutokea, amefariki wakarudi kwa mam tena ameirudisha nchi vizur
  5. B

    Siku 645 Bunge za Mbunge Cherehani

    Huyo jamaa amenyanyasa sana watumishi katika jimbo lake,ana roho mbaya sana
  6. B

    Ni uwendawazimu na ukichaa kuyaamini maneno yanayotoka katika mdomo wa Tundu Lissu

    Kipi unachopigania unakusumbua ushamba tu , usipo mwamini tundu lisu utamwamini nan hapa tanzania, tundul lisu hana doa kinachomgarimu ni kusema kweli
  7. B

    Uhuru wa maoni uwe na mipaka. Kinachoendelea sasa hivi Tanzania ni uchokozi

    Ujutie kwa post yako isiyo na mshiko, kwan isingekuwa mkataba mbovu nan ungemuona anaongea haya yote, sis ajenda yetu ilikuwa katiba mpya
  8. B

    Yupo wapi Mwanasiasa wa CHADEMA, Silvester Kasulumbai

    Mara ya mwisho nilimwona na act ushetu dc
  9. B

    Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?

    Kuua na kuteka watu
Back
Top Bottom