Recent content by bante22

  1. bante22

    Maisha kwenye nchi zenye sheria za kidini yamejawa na unafiki huku media zikiwa na maigizo

    Kitu wamenifurahisha kupinga ushoga Mungu awabariki mpaka washang'ae
  2. bante22

    Masanja akamatwe na Kanisa lake lifungiwe kwa uchunguzi

    Achani umbeya wenu tafuteni pesa , Masanja ana uhusika vipi mtu ana mke wake anaenda kutamani Mke wa wenzie acha afe pepo mkubwa huyo.
  3. bante22

    Moshi: Binti amuua Mama yake mzazi kisa Mali. Mwili wagundulika ulipozikwa baada ya mwaka mmoja

    unauwa Mama mama mama sisi tunatafuta Mama tuomba Mama angekua hai ale mema yetu🥲🥲🥲[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] wewe unamchinja mama aliye beba mimba miezi 9 akakuzaa kwa uchungu usiku na Mchana akulala kwa ajili yako unamchinja Mama kweli Mungu Mungu uko wapi kwanini...
  4. bante22

    Kiongozi wa sukuma gang

    Acha uchonganisha watu na ukabila uko sisi watanzania tulitoka siku nyingi , kama huko kwenye ukabila nenda kenya , Tanzania ukabila ulipitwa na wakati.
  5. bante22

    Yuko wapi Henry Kisanduku aliyemnyooshea Nape bastola?

    Usalama ni usalama , waziri ni waziri , usalama ni chombo kikubwa akiingiliwi kina siri kubwa tukiheshimu.
  6. bante22

    Wachaga endekezeni speed barabarani, mtakwisha!

    Mkiambiwa ukweli mnaanza kuleta ukabila vijana wetu wa kichaga punguzeni Mwendo wazazi tunawahitaji sana .sisi wazee wenu mmetukuta na toyota pickup Za kizamani Kungekuwa fafu msingetukuta, wana msingesoma nani angewasomesha kumbukeni Mnawatoto wadogo na wafamilia wenzenu wengi wameachq familia...
  7. bante22

    UDSM hakuna vya bure

    Humu kuna Mafisadi , wala rushwa, vyeti feki, wafanyakazi Hewa, mikopo hewa, wezi ya mali za umma, wanafunzi hewa, wengine baba zao walitumbuliwa na Mwamba Magufuli. ndio wanamwita muuaji kawaua njaa , na bado mtakufa kweli kurudi tuliko toka watanzania hatuwezi tena Jeshi alitufumbua macho...
  8. bante22

    Hayati Magufuli alikuwa analipwa na nani kusema uongo?

    Kushindana na Hayati Magufuli ni sawa na kuusukuma Mlima kilimanjaro, milima kilimanjaro unaweza kuugusa lakini sio kuusukuma kazi aliyofanya Magufuli ni sawa na Awamu zote 4 Mzee Mwinyi alikiri uwezo Mkubwa wa JPM , Fanyeni Kazi Acheni chuki , Visasi, kejeli, wivu, uongo, Dharau, JPM ni sawa na...
  9. bante22

    Hayati Magufuli alikuwa analipwa na nani kusema uongo?

    Iwe msaada usiwe msaada foleni kwisha JPM alikuwa Mtu wa Vitendo sio Maneno watanzania tumezoea Maneno Mengi una Andika gazeti kubwa huu . tumachoka na Magazeti yenu ,Nchi zote duniani wameandelea kwa vitendo sio Maneno, kama unataka siasa nenda bungeni kwa ndugai, JPM hamuweze kabisa watu wa...
  10. bante22

    Hayati Magufuli alikuwa analipwa na nani kusema uongo?

    JPM alisema Mtamkumbuka leo mnaongelea kazi zake wengine wanatembelea kivuli chake hata mseme Mabaya kiasi gani , hamuwezi kumtoa JPM kwenye Mioyo ya watanzania,kwao alikuwa Mwamba, Jeshi, catapila, Jembe. comando, kaweka Alama Tanzania ambayo hamuwezi kuifuta kamwe. Acheni chuki na nyinyi...
  11. bante22

    Hili la Barabara ya Morocco hadi Mwenge tutolewe tongotongo

    bora Mwamba alijenga barabara tukikuwa tunakaa masaa 6 wakati wa mvua morocco Mwenge, miaka yote tumetumia bilion za pesa ya Mafuta. pesa za uhuru zingeliwa na wanjanja tu, hata kama tumejenga kwa gharama kubwa bora kuliko zamani barabara hakuna pesa zinaliwa na Mafisadi.
  12. bante22

    Rais anapopigana na kivuli cha mtangulizi wake Hayati Magufuli

    Mama alikiri wenyewe kiatu cha JPM akimtoshi sasa mnataka kumvalisha kiatu kwa nguvu? acheni Mama atafute kiatu kinacho Mtosha yeye. wanainchi walimwita JPM, jembe wengine Jeshi, wengine Mwamba, wengine catapila, mzee lipumba kasema Jpm kiatu cha Jpm kilikuwa spesho watu wote walifiata mkia. sio...
  13. bante22

    AIBU: Wachungaji KKKT wampinga Dk Shoo

    Neno la Mungu linasema mtawatambua kwa Matendo yao. Nasi tumewatambua kwa Matendo yao.
  14. bante22

    January Makamba anaweza kuwa Rais

    mamlaka zote duniani zinatoka kwa Mungu wanadamu ni stempu tu.
  15. bante22

    PC Emanuel Keralyo Waitara, mmoja wa askari aliyeuawa na Hamza

    Mtu hutakiwi kuua wala kuuliwa tuliletwa Duniani tuishi na watu vizuri, Maisha ni hadithi tu , tunatakiwa tuheshi na watu vizuri, tutangulize upendo tusifanyiane Mabaya ,kwani Maisha ya kuishi kwetu Duniani ni Mafupi sana. pia tuwe na Hofu na Mungu ndani yetu.
Back
Top Bottom