Gwajima hagombei ubunge wa dini, Hii ni siasa usiingizie mambo ya dini. Ya kale yameshapita tugange yajayo, Siwezi kufanya kosa tena la kumchagua Halima, tunataka maendeleo kwenye Jimbo letu la Kawe hivyo kura yangu nampa Gwajima.
Halima unapoteza muda wako bure na unajichosha maana wanakawe hawana muda wa kusikiliza Sera zako zisizo na maana yoyote, ulishashindwa kuifanya kazi yako hapo awali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.