Recent content by banburydude1

  1. banburydude1

    JamiiForums Tanzania Soko la viatu vya Kimasai

    Kweli ni chache, alitaka pair 50 kwa kuanzia nikaogopa, nataka nianze kutuma pair 20 ili niwe familiar as I go along na kujua some ABCs zake.
  2. banburydude1

    JamiiForums Tanzania Soko la viatu vya Kimasai

    Asante mwanajamii. Naulizia kama kuna watu wanaosafirisha mizigo kwenda huko na taratibu zake. Kwenda mwenyewe na pair 20 tu Hapana labda baadae. Soko lipo tayari nimempa designs tofauti za hivyo viatu kapagawa, na kutaka pair 50 to start with.
  3. banburydude1

    JamiiForums Tanzania Soko la viatu vya Kimasai

    Huko sahihi mwanajamii, sound weird pair 20 Ivory Coast!! Na test Zali na kutaka kujua mfumo ukoje. Lakini hii biashara ni serious, nimeambiwa pair 50 kwa kuanzia.
  4. banburydude1

    JamiiForums Tanzania Soko la viatu vya Kimasai

    Wanajamii wenzangu wa JamiiForums, Nimeunganishiwa deal ya kupeleka viatu vya Kimasai Ivory Coast na ndugu yangu wa ki Tanzania anayekaa na kufanya kazi kule. Ombi langu kwenu, mwenye kujua taratibu za kufuata ili nipeleke pair 20 za viatu kule kwa kuanzia. Nahitaji kuwa na vibali kama...
  5. banburydude1

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa taratibu za uuzaji wa bidhaa nje ya nchi

    Wanajamii wenzangu wa JamiiForums, nimeunganishiwa deal ya kupeleka viatu vya Kimasai Ivory Coast na ndugu yangu wa ki Tanzania anayekaa na kufanya kazi kule. Ombi langu kwenu mwenye kujua taratibu za kufuata ili nipeleke pair 20 za viatu kule kwa kuanzia. Nahitaji kuwa na vibali kama export...
  6. banburydude1

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 NEC: CCTV zifungwe kuepusha wizi wa kura

    Hizo cctv zitafungwa kwenye vituo/ nyumba zinazomilikiwa na nani? You don’t have to answer that!
  7. banburydude1

    JamiiForums Tanzania Wakenya wakimbilia Tanzania kununua Petrol na Diesel wadai bei ni nafuu sana ukilinganisha na kwao!

    Hivi shilling yao na yetu ipi iko juu tusijekuwa tunaongea tuu na kuonekana mazuzu!
  8. banburydude1

    JamiiForums Tanzania Kuruhusu watu binafsi kuzalisha na kuuza umeme inaweza kuwa suluhisho la tatizo la umeme?

    That’s the way to go in everything guys, even Water Supply.
  9. banburydude1

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kumbe walijua hili? Sasa mbona kwenye Bandari hutaki kukubali?

    Hakuna raia wa nchi hii mwenye akili timamu anapinga mwekezaji from anywhere from whatever color, religion etc isipokuwa kuna vitu SIYO kwenye contents za mkataba kama muda wa mkataba na kiasi nchi itapata viwekwe wazi na marekebisho mengine madogo then mwekezaji apewe tu.
  10. banburydude1

    JamiiForums Tanzania Hongera DP world kwa kutua Tanzania

    Congrats bruh, DPW waje tu nobody argues about that, main concern ya watanzania walio wengi ni few contents kwenye hiyo contract, hivi hivyo vipengele avionekani au wewe Mr. Pascal Ndege na wewe uvioni pia? C’mon dude! Serikali wawaambie warekebishe then wapewe uwekezaji, everyone will be happy...
  11. banburydude1

    JamiiForums Tanzania Wazee wa Kinyakyusa kufanya kikao cha dharura

    Sumbawanga siyo mbali na pale….. LABDA [emoji2369]. Yote ya nini lakini? We’re too smart to sort this DP things before escalating that far.
  12. banburydude1

    JamiiForums Tanzania Wazee wa Kinyakyusa kufanya kikao cha dharura

    Haya mambo ni magumu sana jamani…… tusidharau mwiba wa wajameni……
  13. banburydude1

    JamiiForums Tanzania Zambia na Congo zaanza kutafuta njia mbadala kusafirisha mizigo yao

    Sidhani kama kuna TZ yoyote anayekataa uwekezaji labda kama wapo mimi sijuhi, tatizo lipo kwenye masharti yanayowekwa na huyo Investor ndiyo tabu ilipo, yaani yana manufaa kwa watu na nchi kwa ujumla?
Back
Top Bottom