Recent content by Ban Barka

  1. B

    JamiiForums Tanzania Marekani ni watu wanafiki sana. Kwa silaha zao wameua na kumwaga damu za maelfu ya watu wasio na hatia kule Iran halafu wanajifanya kuhubiri haki

    Tangu mwaka 1945 Marekani imeshambulia nchi 96 - TISINI NA SITA !!! Incomplete statistics showed that from the end of World War II to 2001, among the 248 armed conflicts that occurred in 153 regions of the world, 201 were initiated by the United States. FAHAMU MAANA YA UBEBERU BADALA YA KUWA...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Samia: Nimeongea na Rais Ruto, wale watoto wetu watovu wa adabu, wakija kwako chapa mikwaju, wakija kwangu nachapa mikwaju

    Du angalia Waziri Kombo anavyopiga makofi peke yake !
  3. B

    JamiiForums Tanzania Wazanzibar waelekezwa kuachana na kitambulisho cha NIDA, waambiwa watumie cha Mzanzibar Mkaazi

    kweli mkuu Abedi Karume alikuwa Mmalawi Ali Mwinyi alikuwa Mtanganyika Pia marais wa Zenji
  4. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Balozi Mteule wa Marekani Nchini Tanzania (Trachman) Aweka Wazi Vipaumbele Vyake Seneti, Aguswa na Uchaguzi wa 2025!

    Ubeberu huo - tusizubae kama walivyofanya DRC kuhusu madini yao kuporwa na Marekani
  5. B

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz -Ni kundi la wanasiasa mafisadi wanaojiita wawekezaji

    PM ushauri wako ni wa kupotosha maadili ya nchi
  6. B

    JamiiForums Tanzania Lucy Mwakyembe: Wafanyakazi washauriwe kujiunga kwenye vyama vya wafanyakazi wanavyotaka, wasiungwe bila ridhaa yao

    TANZANIA HAKUNA VYAMA VYA WAFANYAKAZI HURU ILA NI NGO BINAFSI ZA ULAJI TU - JE ULISIKIA WAPI VYAMA HIVYO VINAONGOZA MGOMO?
  7. B

    JamiiForums Tanzania Sammy Awami: Vyombo vya kusimamia Serikali vikikosa nguvu, kikundi kidogo cha Watu kitafanya maamuzi kwa maslahi yake chenyewe

    Nyie mnaodai eti Israel ni wabarikiwa na wateule, mbona majeshi ya Israel wamewaua Wayahudi wanaoishi Iran na kubomoa masinagogi yao huko Iran? Hebu tueleze
  8. B

    JamiiForums Tanzania CHAUMMA, CUF, ACT Wazalendo waungana katika iftari maalumu iliyoandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD)

    POLE POLE KAKOSOA LEO YUKO WAPI ?????? ACHENI UNAFIKI !!!!!!
  9. B

    JamiiForums Tanzania Tribute to Prof. Costa Ricky Mahalu, alikuwa Wakala wa Mungu hapa duniani!, aliokoa Maisha yangu Rome, Italy, Asante! nenda salama!

    Siyo mabalozi wote kama Mahalu. Rafiki yangu anaishi Canada kama raia diaspora. Alipiga simu kujisajili ubalozini. Hakupata jibu. Akatuma barua pepe wakamtumia fomu ya kujaza. Akaijaza na kuituma. Hakupata majibu. Akaulizia hakupata majibu. Leo ni mwaka wa pili hakusikia lolote kutoka ubalozini.
  10. B

    JamiiForums Tanzania Jafo: Vingunguti, Tandale na Buguruni pavunjwe pajengwe Maghorofa

    Kwa hiyo kubomoa nyumba za wavuja jasho na kujenga maghorofa ya matajiri ni maendeleo ??? NONSENCE Mbona huko Oysterbay hawataki kujenga maghorofa kama ndio maendeleo?
  11. B

    JamiiForums Tanzania Marekani Yafunga balozi zake za Burundi, Rwanda na Uganda

    Wana vituo vya kivita 1000 duniani. Kwanini wasivifunge?
  12. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tanzania kutumia takribani Sh. Bilioni 2.7 kukodi Kampuni ya Marekani ili ‘Kurekebisha Taswira ya Nchi’ baada ya Mgogoro wa Uchaguzi

    Wakuu wa kule wanahongwa ili waseme mazuri kuhusu Mama. Wao rushwa huita LOBBY
  13. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tanzania kutumia takribani Sh. Bilioni 2.7 kukodi Kampuni ya Marekani ili ‘Kurekebisha Taswira ya Nchi’ baada ya Mgogoro wa Uchaguzi

    HIZO FEDHA NI ZA KUWAHONGA WAKUBWA WA MAREKANI - WAO WANATUMIA NENO LOBBBY
  14. B

    JamiiForums Tanzania Nyerere angewasikiliza Mtei na Kambona uchumi wa Tanzania ungekuwa mkubwa sana

    KULE KENYA MZEE KENYATAA ALIFUATA SIASA YA NYANGAU MAN EAT MAN - MBONA LEO VIJANA wa KENYA WANAANDAMANA NA KUUAWA? wanataka ujamaa?
Back
Top Bottom