Recent content by Bam1

  1. Bam1

    MSaada: Mtoto wangu anapata joto kali

    Sawa mkuu nakushukuru
  2. Bam1

    MSaada: Mtoto wangu anapata joto kali

    Habari Doctors naomba msaada wenu, Mtoto wangu anaumwa siku ya sita mpaka sasa lakini anachoumwa ni joto kali la mwili hospital 🏥 wakipima anakuwa na 38.8 za joto na vipimo vyote wamepima Hana tatizo lolote. Lakini mama yake ana mimba ya miezi nane sasa watu wananiambia wenda ikawa joto la...
  3. Bam1

    Serikali yatangaza ajira mpya 9,675 kada za Ualimu na Afya

    Naona Wana watu wengi ukibaatika kukamata line sawa ikishindikana sawa lakini mimi sijapata nafasi.
  4. Bam1

    Serikali yatangaza ajira mpya 9,675 kada za Ualimu na Afya

    TAMISEMI AWAPOKEI SIMU YANI HATA KIDOGO WAMETUWEKEA KAMA MAPAMBO JAMANI UKU TUNA SHIDA SANA KWENYE MFUMO OTEAS
Back
Top Bottom