Zamani walikuwa wakichepuka sana na mume akitaka kukuolea mke wa pili we ndo unatandika kitanda na kumuhudumia huyo bi mdogo sema ss kina mama tumejua haki zetu hatuambiwi kitu. Na wamama walikuwa wakichepuka ndo maana walikuwa wakizaa watoto wengi kumbe kati ya wale 2 ni wa familia anayodhani...
Mkomalie mwambie we unajua na una uhakika kuwa mlishauriwa kutumia njia ya uzazi wa mpango na mkakubali na bado muda haujafika km ametoa kwa siri basi ana mtu aliyekubaliana naye kusitisha huo mpango wa kukinga mimba hivyo ni bora akasogea kwake ili walee hiyo mimba. Usiwaze kana kwamba we ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.