Kuna jamaa yangu ameona. Pia ana mchepuko ambaye ni mke sa mtu. Siku moja kapata story kuwa mchepuko wake umeingizwa lodge na fala mmoja ambae siye mume wa huyo mchepuko. Jamaa s akaenda kufu.mania....
Kuna wimbo mmoja wauza kaseti waliandika i low my. Kuna kipindi mwimaji alikuwa anakolezea kwa maneno ya HEH HEH HEH. Mtaani tulikuwa tunaimba " Ilo mai nipe michuziii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.