Recent content by Balozi Albert

  1. B

    Unapogundua unachapiwa kwa asie mke wako wala usimumize mchapaji, Mzigo ni mali yake na anaamua zamu hakuna anayemmiliki.

    Kuna jamaa yangu ameona. Pia ana mchepuko ambaye ni mke sa mtu. Siku moja kapata story kuwa mchepuko wake umeingizwa lodge na fala mmoja ambae siye mume wa huyo mchepuko. Jamaa s akaenda kufu.mania....
  2. B

    Orodha ya nyimbo na watunzi za Juwata jazz toka mwaka 1977 mpaka mwaka 1997

    Unimaliza weka na Orchestrer Safari Sound enzi za Freddie Ndala Kasheba
  3. B

    ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

    Wakati wa utoto ilikuwa bendi yangu bora. Mpaka leo nikisikiliza nyimbo zao sizichoki
  4. B

    Msaada nyimbo za caribean

    Kuna wimbo mmoja wauza kaseti waliandika i low my. Kuna kipindi mwimaji alikuwa anakolezea kwa maneno ya HEH HEH HEH. Mtaani tulikuwa tunaimba " Ilo mai nipe michuziii.
  5. B

    Msaada nyimbo za caribean

    Kama kuna member anaweza nisaidia kupata nyimbo za soca rhumba calypso zilizovuma enzi za miaka ya 1980 naomba msaada
Back
Top Bottom