Recent content by balob

  1. B

    MANENGERO: Mwislam aliyezikwa kwa jeneza, Tajili tapeli na jambazi la kisukuma lililopata mali za dhuluma

    duh kweli we unajua story yoote nakumbuka mama aliwai nisimulia haya
  2. B

    MANENGERO: Mwislam aliyezikwa kwa jeneza, Tajili tapeli na jambazi la kisukuma lililopata mali za dhuluma

    Duh kweli kabsa ila kuhusu Hawa sjui coz nlikua mdogo sana pale misasi enz hizo nilikuga karbu sana Na mwanae huseni ila kwa Sasa mma
  3. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo mbeya tukuyu secondary nije Moro manispaa ama Dodoma jiji
  4. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Unataka kuja tukuyu nije Moro? Mana umesema tu Safi sijakuelewa
  5. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo TUKUYU mbeya nije Moro manispaa
  6. B

    Walimu shule za Serikali wapaswa kurudi na kuhudhuria shuleni kuendelea na kazi

    Adui wa mwalimu ni mwalimu Yan mnaona tukikaa tukafanya shughuli zngne za kiuchumi tunafaidi sanaa
  7. B

    MANENGERO: Mwislam aliyezikwa kwa jeneza, Tajili tapeli na jambazi la kisukuma lililopata mali za dhuluma

    Ndo huyo Sasa anaongelewa enzi hizo tupo pale misasi vijana wadogo timu y basuco
  8. B

    MANENGERO: Mwislam aliyezikwa kwa jeneza, Tajili tapeli na jambazi la kisukuma lililopata mali za dhuluma

    Huyu ndio kuna tetesi hizo za mkono wa chuma Na alikua tajiri kweli anjiita bara supply company Ltd ndo maana ya basuco Na aliwai miliki timu ya mpira pale misasi kwimba
  9. B

    MANENGERO: Mwislam aliyezikwa kwa jeneza, Tajili tapeli na jambazi la kisukuma lililopata mali za dhuluma

    Taarifa yako inamapungufu kidogo manengero aliefariki miaka y 2000 hakua tajir ilivo ila kaka Ake aliefariki miaka ya 90 ama 80 ni Mohamed Hassan manengero alikua Na kampuni inaitwa basuco
  10. B

    Moro Town: Mji unaoongoza kwa wajanja Tanzania

    Ok rudi nyuma kidogo ka tunaelkea kingalu kulikua Na Kota flan pale aliishi Dr machibya karibu Na hostel za Moro sec wasichana
  11. B

    Moro Town: Mji unaoongoza kwa wajanja Tanzania

    Mwalimu amry tulimwita kikulacho pale forest Bila kumsahau Mr dogo n marehem chiduo
Back
Top Bottom