Recent content by bajosons

  1. B

    JamiiForums Tanzania KERO DAWASCO wanachimba mitaro na kuiacha muda mrefu bila shughuli inayoendelea

    Kumekuwa na tatizo la watu wa DAWASCO kuchimba mitaro na kuiacha kwa kipindi kirefu. Mtaani kwangu njia panda ya Segerea tuna wiki mbili wamechimba na hakuna kingine kimefanyiaka, hii ni kero sababu tunashindwa kutoa magari na kuingiza ndani.
  2. B

    JamiiForums Tanzania KERO Chakula kinachotolewa Shule ya msingi Olimpio, Upanga ni kibovu

    Chakula cha usiku mtoto akale kesho yake mchana?pwaaa
  3. B

    JamiiForums Tanzania KERO Chakula kinachotolewa Shule ya msingi Olimpio, Upanga ni kibovu

    Chakula cha nyumbani hakiruhusiwi kwa shule yoyote
  4. B

    JamiiForums Tanzania KERO Chakula kinachotolewa Shule ya msingi Olimpio, Upanga ni kibovu

    Chakula ni kichafu shule ya Olimpio watoto wanalalamika kuumwa matumbo, taarifa ni kwamba chakula kina wadudu.
Back
Top Bottom