Recent content by baitani

  1. B

    Second round TCU inatoka

    Nishaamka.niko vizuri. 3.3gpa
  2. B

    Second round TCU inatoka

    Kwa wale wa diploma ambayo wamefikisha gpa3.0 na kuendelea Lakini walikuwa na supp inakuwaje tcu.naona dirisha limefungwa
  3. B

    masomo waliyofanya vibaya matokeo ya form 6

    Nasikia tetesi st.joseph cathedral ndio ya kwanza tanzania kwa matokeo mazuri
  4. B

    Wanfunzi 33,050 kupewa mikopo kati ya zaidi ya 49,000 walioomba

    Malalamiko yetu tutayatoa 2015,msipigizane nao kelele. hao wanatoa mkopo wamesoma bure, leo hii wamesahau?
  5. B

    Wanfunzi 33,050 kupewa mikopo kati ya zaidi ya 49,000 walioomba

    Tatizo tunachanganya elimu na siasa mchwara.we acha tu 2015 kitachimbika , kitaeleweka tumechoka.
  6. B

    St,ugustine univesity

    Kama hostel zimejaa wasaidie wenzenu ambao hawajaripoti toeni contact kwa weye room off cumpus.maisha yanaanzia hapo chuoni
  7. B

    St,ugustine univesity

    cash 733,000 siyo issue pale ,wewe umekuwa na bahati, watu wamekaa siku tatu kwa issue ya spelling kwenye jina lake,wanasema sio wewe tutadhibitashaje wakati namba yake ya mtihani ni hiyo ambayo wanayo wao.hacha kaka we jipange tu
  8. B

    St,ugustine univesity

    cash 733,000 siyo issue pale ,wewe umekuwa na bahati, watu wamekaa siku tatu kwa issue ya spelling kwenye jina lake,wanasema sio wewe tutadhibitashaje wakati namba yake ya mtihani ni hiyo ambayo wanayo wao.hacha kaka we jipange tu
  9. B

    St,ugustine univesity

    Tcu kwenye mtandao wao walitoa majina 3.kama cheti chako hakina majina 3 ni issue. wengi wetu vyeti vyetu vina majina mawili.
  10. B

    St,ugustine univesity

    Ndugu zangu registration pale st.augustine ni issue. Usumbufu.je nawenzangu mmepata usumbufu huo.inakera
Back
Top Bottom