Androgen na progesterone
Ndo viwawishi vya kupanga kumbe either wa kiume au awe wa kike so ktk mazingira hayo vichocheo hivyo vinakuwa vingi kwa watu kutokana na matumizi ya chakula na madawa hivyo unakuta mwili unachochea matiti wakat mtoto ni wa kiume
Au kuchochea ndevu wakat mtu ni wa kike...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.