Recent content by Bagamoyo

  1. B

    South Africa is now on fire ! A raging fire destroyed the Botha Sigcau Building in Mthatha !

    Inaelekea mkondo wa Zimbabwe, Mozambique, Tanzania na Angola zilizo chini ya vyama dola kongwe 'tawala' vya 'ukombozi'
  2. B

    Full TIME | Tanzania 0-1 Liechtenstein | International Friendly | Kigali Pelé Stadium

    TIMU YA TAIFA LA LIECHTENSTEIN, WACHEZAJI WAKE NI WALE WA NDONDO CUP Timu ya taifa Liechtenstein ya mpira wa miguu ya Liechtenstein nikwa kiasi kikubwa linajumuisha wasio wakulipwa ambao wanashikilia kazi zingine, wakichanganywa na idadi ndogo ya professional wa muda wote, hasa kutoka FC...
  3. B

    Full TIME | Tanzania 0-1 Liechtenstein | International Friendly | Kigali Pelé Stadium

    idadi ya watu wa Liechtenstein Idadi ya watu wa Liechtenstein ni takriban40,300 hadi 41,400kuanzia mwanzoni mwa 2026, na kuifanya kuwa nchi ya nne kwa ukubwa barani Ulaya na moja ya nchi ndogo zaidi duniani. Nchi hiyo ina eneo dogo la takriban kilomita za mraba 160, ikiwa na msongamano wa watu...
  4. B

    Donald Trump: Vyombo Vyote Iran Iwe Polisi, Jeshi, mgambo wekeni silaha zenu chini la sivyo utakabiliwa na kifo cha uhakika

    26 March 2026 TRUMP KATIKA MKUTAMO WA BARAZA LA MAWAZIRI, AGENDA YA MAFUTA NA NISHATI YAJADILIWA HUKU VITA NA IRAN IKIENDELEA MASHARIKI YA KATI https://m.youtube.com/watch?v=KKGn4sknW8E Rais Donald Trump siku ya leo Alhamisi 26 March 2026 aitaka Iran kufanya makubaliano ya kukomesha...
  5. B

    Donald Trump: Vyombo Vyote Iran Iwe Polisi, Jeshi, mgambo wekeni silaha zenu chini la sivyo utakabiliwa na kifo cha uhakika

    26 March 2026 IRAN SASA NI SAWA NA MTU-MFU ANAYETAMBAA - ': MAKAO MAKUU YA JESHI LA MAREKANI CENTCOM YAFICHUA maelezo 'YA KINA YALIVYOBOMOA VITUO VYA KIJESHI VYA IRAN HADI SASA https://m.youtube.com/watch?v=d-LVOMAh7x4 Luteni Jenerali Mstaafu HR McMaster anachambua uharibifu wa uwezo wa kijeshi...
  6. B

    Mkuu wa Jeshi la Polisi Afrika Kusini anakabiliwa na kashfa ya Rushwa zabuni ya dola Milioni 21 (Tsh. Bilioni 54)

    Siyo bure nchini Afrika ya Kusini wanakumbuka utawala wa wenzao weupe ulivyoweza kuendesha nchi mbali ya kuwepo sera za kikaburu na kushangaa hawa waswahili waliolilia kuendesha nchi wakifeli vibaya sana hadi viongozi kuwa majambazi yaliyovaa sare za kiaskari na suti za ofisini wakigeuza ofisi...
  7. B

    Hivi umejaribu kuwaza juu ya athari zinazoweza kusababishwa na hivi vita vya Israel, Marekani na Iran?

    Mar 21 2026 Since the 1980s, South Africa had the infrastructure to refine 700,000 barrels of oil per day. Even under global sanctions, we produced enough fuel for our own needs. Now, a single war halfway across the world make us feel the effect of this destruction...
  8. B

    South Africa is now on fire ! A raging fire destroyed the Botha Sigcau Building in Mthatha !

    26 March 2026 Naibu Waziri wa Ulinzi na Maveterani wa Kijeshi jenerali Bantu Holomisa anasema moto wa jengo la Botha Sigcau unaashiria kupuuzwa kwa miundombinu na vifaa vya serikali kufanyiwa matengenezo. Miali ya moto ilienea katika jengo hilo la kihistoria la Botha Sigcau ambalo ni makazi ya...
  9. B

    UN yapitisha azimio la kutambua utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya binadamu. Israel, Marekani na Argentina zapinga

    Viongozi wenyewe wa Afrika wamewafanya raia huru wa nchi zao kuwa mateka. Wanaishi kifahari. Wanajimegea mapande makubwa ya keki ya taifa kwa manufaa ya wao wachache na marafiki wao. Viongozi wa kiafrika hawajali nchi zao kuwa na huduma bora za afya, elimu, mazingira bora kwa wakulima, wavuvj...
  10. B

    Mahakama ya Ubelgiji kuendesha kesi Mauaji ya Patrice Lumumba, familia yadai haki

    https://m.youtube.com/watch?v=mNPA8eZdsZI
  11. B

    Kufungiwa JamiiForums: Mahakama Kuu yayatupilia mbali mapingamizi ya Jamhuri. Kesi rasmi kuendelea

    Hatimaye kilio chetu wana JamiiForums kukosa haki ya kusoma mtandao huu mkubwa wa JamiiForums kitasikilizwa Mahakamani
  12. B

    Kufungiwa JamiiForums: Mahakama Kuu yayatupilia mbali mapingamizi ya Jamhuri. Kesi rasmi kuendelea

    Fortunatus Boniphace Buyobe vs Vapper Tech Limited [Jamii Forums] and Others (CONSTITUTIONAL CASE NO. 000031115 OF 2025) [2026] TZHC 924 (16 March 2026) High Court of Tanzania A user's constitutional challenge to an online platform suspension is competent; preliminary objections on remedies...
  13. B

    Donald Trump: Vyombo Vyote Iran Iwe Polisi, Jeshi, mgambo wekeni silaha zenu chini la sivyo utakabiliwa na kifo cha uhakika

    25 March 2026 Ikulu ya White House White House Press Secretary Karoline Leavitt on Wednesday said President Trump is "prepared to unleash hell" Rais Trump "tumejiandaa kuipelekea moto wa kuzimu Iran " Trump yuko tayari "kuipa pigo kali Iran" ikiwa Tehran haitakubali makubaliano ya kukomesha...
  14. B

    Dar es Salaam ilikuwa Mecca ya vyama vya ukombozi, pia jiji la mapigano baina ya vyama hasimu vya ukombozi Afrika ya Kusini

    25 March 2026 Pan Africanism: The Re-membering of a Nation https://m.youtube.com/watch?v=Z8ZhvpuiM9c Pan Africanism: The Re-membering of a Nation is a series of handbooks by Jenerali Twaha Ulimwengu and Azaveli Feza Lwaitama, PhD, targeting primarily students on the African continent and beyond...
Back
Top Bottom