Recent content by Bagamoyo

  1. B

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Naibu Waziri wa Vijana, Hassan Khamis: Wanaofanya kazi kwenye Mahotel Zanzibar siyo wazawa inabidi tufanye Mapinduzi

    GENERAL INFORMATIONS Full name : Hon. Hassan Khamis Hafidh Date of Birth: 25-03-1976 Member Type: Constituency: Elected Welezo Political Party: CCM Mobile Number: Email: Year Started: Terms: EDUCATION +255 778943949 hassandiaspora@gmail.com 2016 Rahaleo Primary School Primary Education...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Kombo aenda ubalozi wa EU Tanzania kuzungumzia vikwazo

    TOKA MAKTABA : Human rights MEPs mission to Tanzania cancelled after authorities decline visit Press Releases 07-05-2026 - 16:49 The Chairman of the Subcommittee on Human Rights, Mounir Satouri, has issued the following statement. Photo : DROI Chair Mounir Satouri © European Union (2024) -...
  3. B

    JamiiForums Tanzania US Government: We are comprehensively reviewing our relationship with the Tanzania Government

    07 June 2026 Arusha, Tanzania Pressing issues affecting African societies, including governance, equity, inclusion, human rights, and sustainable development https://m.youtube.com/watch?v=Qrgo8NLK1eg The Tanzania Competitive Rhetoric Organization (TCRO), in collaboration with Twaweza East...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Kombo aenda ubalozi wa EU Tanzania kuzungumzia vikwazo

    08 June 2026 EU Member States Ambassadors met with Hon. Amb. M.T. Kombo, Tanzania's Minister of Foreign Affairs Today, EU Member States Ambassadors met with Hon. Amb. M.T. Kombo, Tanzania's Minister of Foreign Affairs, for a high-level political dialogue. Leo, Mabalozi wa Nchi Wanachama wa EU...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Naibu Waziri wa Vijana, Hassan Khamis: Wanaofanya kazi kwenye Mahotel Zanzibar siyo wazawa inabidi tufanye Mapinduzi

    Gharama kubwa sana zimewapata waTanganyika Oktoba 29 2025 na Wazazibari 12 January 1964 ili wanasiasa wapate kuwa madarakani Muingiliano wa waTanganyika na waZanzibari haukuasisiwa mwaka 1964 kama historia potovu ya watawala inavyosimulia. Wakwezi, wavuvi, wakulima wa nchi hizi mbili walikuwa...
  6. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mange Kimambi: META waliisaidia Serikali ya Tanzania kufuta akaunti yangu ili kuficha maovu ya Serikali yasiwafikie Watanzania

    Mange Kimambi: META helped the Tanzanian government delete my account to hide the government's evidence.. https://m.youtube.com/watch?v=ELnHNUvfDy4 Mange Kimambi via youtube addressing the US senate and congress houses and president Donald Trump Meta actions against Tanzanian activitsts are...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Naibu Waziri wa Vijana, Hassan Khamis: Wanaofanya kazi kwenye Mahotel Zanzibar siyo wazawa inabidi tufanye Mapinduzi

    Mauaji ya 29 Oktoba 2025 ya serikali haramu ya Samia Hassan kwa kutumia vikosi maalum SMZ, idara maalum SMZ na KMKM Seals ni pia mkakati wake mpana kuchochea Tanganyika na Zanzibar kujitenga baada ya juhudi za kuuza bandari zote za Tanganyika na shoroba zote kushindwa kuinua hasira za...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Naibu Waziri wa Vijana, Hassan Khamis: Wanaofanya kazi kwenye Mahotel Zanzibar siyo wazawa inabidi tufanye Mapinduzi

    Swali kuu je Zanzibar kujitenga inakwenda kukingiwa kifua na makundi yasiyo ya kidola ( Non State organisations) Wagner Group au DP World Group yanayofadhili na mataifa zenye makampuni hayo ya kitaifa kwa mgongo kuwa ni kampuni tu ila nyuma yake dola za mataifa hayo ndiyo yenye ajenda ya...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Naibu Waziri wa Vijana, Hassan Khamis: Wanaofanya kazi kwenye Mahotel Zanzibar siyo wazawa inabidi tufanye Mapinduzi

    Ziara ya Samia Hassan huko Moscow na St. Petersburg inaakisi matamanio ya waZanzibari kujitenga kwa kupitia kuvamiwa na nchi za nje kisha kupiga kura ya kujitenga kuwa nchi huru Majimbo ya Crimea, Luhansk na Donetsk sehemu za Kherson pia Zaporizhzhia za Ukraine zilifadhiliwa kura ya maoni ya...
  10. B

    JamiiForums Tanzania Dar es Salaam ilikuwa Mecca ya vyama vya ukombozi, pia jiji la mapigano baina ya vyama hasimu vya ukombozi Afrika ya Kusini

    Hotuba ya Rais Cyril Ramaphosa kuhusu uhamiaji (SONA) Jumapili, 7 Juni 2026 Ndugu Waafrika Kusini, ningependa kuwahutubia jioni hii kuhusu jambo linalowahusu Waafrika Kusini wengi. Katika miezi ya hivi karibuni, Waafrika Kusini kutoka kila tabaka la maisha wameibua wasiwasi kuhusu uhamiaji na...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Dar es Salaam ilikuwa Mecca ya vyama vya ukombozi, pia jiji la mapigano baina ya vyama hasimu vya ukombozi Afrika ya Kusini

    07 June 2026 Rais Cyril Ramaphosa ahutubia taifa(SONA) kuhusu uhamiaji haramu na maandamano ya kupinga wageni https://m.youtube.com/watch?v=CmECv9vdifY&pp=ygUJU2FiYyBuZXdz Rais Cyril Ramaphosa ahutubia taifa jioni hii kuhusu mbinu ya serikali ya usimamizi dhidi ya uhamiaji haramu na ongezeko...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Dar es Salaam ilikuwa Mecca ya vyama vya ukombozi, pia jiji la mapigano baina ya vyama hasimu vya ukombozi Afrika ya Kusini

    07 June 2026 Balozi zinafaa zaidi kuondoa dhana potofu kuhusu masuala ya uhamiaji haramu yanayokabili Afrika Kusini : Fakude https://m.youtube.com/watch?v=PTa5jGmBah4 Rais Cyril Ramaphosa ametangaza kwamba Afrika Kusini itatuma wajumbe 54 kote barani na sehemu zingine za dunia, huku serikali...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Prof Mohammed Hassen: Ethiopia anasema waarab(UAE) Wana project ya mda mrefu ya kumiliki bandari zote za Afrika ikiwemo ya Dar. TISS hawajui!?

    07 May 2026 Mchambuzi Mkuu wa Vita vya Iran Asema Wimbi la Ukoloni Mpya wa Afrika Umeanza na Ndani ya muda mfupi litatua Katika Pwani ya bara hilo https://m.youtube.com/watch?v=hw2OHVvF-os Katika mahojiano yake ya kwanza kabisa kuhusu mada ya Afrika, na vyombo vya habari vya Kiafrika, Profesa...
  14. B

    JamiiForums Tanzania Prof Mohammed Hassen: Ethiopia anasema waarab(UAE) Wana project ya mda mrefu ya kumiliki bandari zote za Afrika ikiwemo ya Dar. TISS hawajui!?

    Tanzania imeagukia mikononi mwa Ukoloni mamboleo ? Imekubatia mabeberu na madalali wa ukoloni mambo leo wa nchi za ulaya, Russia, Mashariki ya Kati, Nchi za ghuba na Asia bila kujiuliza kwa kina kwa hoja tunduizi njama kubwa za mabeberu na makuadi wao. Wasomi maprofesa wa kiTanzania UDSM...
  15. B

    JamiiForums Tanzania Kigogo wa NRM Agro Limited na wenzie 10; Mahakamani kwa makosa ya dawa za kulevya

    Kazi kwao mawakili wasomi
Back
Top Bottom