Kuna ukwel flani kwenye hili, Usa na mataifa ya magharibi huwa wanatumia this kind of tactics pale wanapokuwa wanahitaji vitu flani ambavyo vina manufaa kwao.
Pamoja na hayo ni vema akili ikatumika zaidi kudeal na hawa watu na sio kutunisha misuli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.