Recent content by backbenchers

  1. backbenchers

    JamiiForums Tanzania Kero. Masoko ya M'buyuni na Manyema ya Moshi mjini hamna parking ya magari

    Ndugu yangu siku hizi bajaji sio usafiri Tena, zimekuwa nimojawapo ya kero kubwa sana kwenye miji yetu, na ukizingatia inasemekana nyingi zinamilikiwa na mapolisi basi hata kusimamishwa wakat zikivunja sheria ni nadra sana, naadreva wengi wa bajaji hawajui sheria za barabarani, basi kerooo...
  2. backbenchers

    JamiiForums Tanzania Kero. Masoko ya M'buyuni na Manyema ya Moshi mjini hamna parking ya magari

    Katika pita pita zangu mjini hapa, nimegundua kuwa kuna kero Moja inayofumbiwa macho na manispaa ya Moshi mjini, masoko ya hapa Moshi mjini, hususani soko la M'buyuni na soko la Manyema, yana ufinyu au hayana kabisa maegesho ya wateja kuegesha magari Yao ili wakapate huduma sokoni. Kero hizi...
  3. backbenchers

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Tumeamua kuwashirikisha wenzetu kutoka Uganda na Namibia kupata muono mpana. Tume inakwenda kutafuta nani walichochea, waliotoa fedha

    Kama ushawah sikia ulemsemo, "unaniona Mimi ni kama ile chupi yako iliyotobika" Ndio hii sasa #hatujasahahu29Oct #hatusamehiwoOct #backbemchers #backbencherschronicles
  4. backbenchers

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Serikali inafanya tathmini ya Tamko la Jumuiya ya Madola kuhusu Lissu, tutawapa majibu

    Kichwa panzi, very stupid man, very stupid A bunch of very stupid leaders Extremely stupid leadership
  5. backbenchers

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri UDOM aliyepewa dhamana na Mahakama, sasa apewa shitaka la ugaidi, ahamishiwa Gereza la Isanga

    Kwenye katiba inasema, maandamano ni haki ya mwananchi, ila ss hawa viongozi vichwa panzi hukutaka tu hata kuongelea swala la maandamano wanakasirika wanataka wakupoteze. Ss hapa picha linaanza hapo tu sehemu kesi ilipofunguliwa, mahakama ya mwanzo, yenyewe Haina uwezo wakusikiliza kesi, mtu...
  6. backbenchers

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri UDOM aliyepewa dhamana na Mahakama, sasa apewa shitaka la ugaidi, ahamishiwa Gereza la Isanga

    Sio Dunia, sema samuya na jopo lake la wauwaji
  7. backbenchers

    JamiiForums Tanzania DKT. NCHIMBI: Haki za Binadamu ni pamoja na Mwananchi anayetaka kutoa maoni bila hofu

    Hata siku 1 siwezi muamini mwanasiasa, hata akisema nje kuna mvua lazma nitokea nje nkahakiki, ndio tuseme makamu wa raisi anaweza kwenda kinyume na raisi? Inakuwaje hapa kama anamtema mama kiaina, na sio mara ya kqanza mchimbi kuongelea mambo kama haya, kwamba anajua kabsa kuwa watanganyika...
  8. backbenchers

    JamiiForums Tanzania Mchengerwa: Hakuna faida yoyote ya kuwa na misitu alafu watoto wanakaa chini. Hiyo misitu tunamtunzia nani?

    Kila siku zinapigwa kelel juu ya global warming na hali ya joto kuongezeka, ss anakuja kiongozi aliyepewa badala yakuchàguliwa anayaongea haya. Watanganyika mpaka hii serikali ya FISIEMU itoke madarakani, tutaona vituko vingi mnoo, yaani tutaiskia maneno ya ajabu ajabu mwengi mnoo. Ss kama...
  9. backbenchers

    JamiiForums Tanzania LHRC, TLS, Dk. Slaa wamfungulia Kesi ya Kikatiba Waziri Katambi kupinga amri ya kuzuia Mikutano ya Hadhara ya Kisiasa

    Ebwana eehh tunajua hyo kesi lazma iwekewe mapicha picha na mambo meusi, ila çhamuhim tusikate tamaa, hawa wapuuzi lazma tuwanyooshe tu, hata nchi zanje lazma zione kuwa haki inakandamizwa tanzania
  10. backbenchers

    JamiiForums Tanzania LHRC, TLS, Dk. Slaa wamfungulia Kesi ya Kikatiba Waziri Katambi kupinga amri ya kuzuia Mikutano ya Hadhara ya Kisiasa

    Kiufupu ni tanganyika Haina viongozi wenye akili timamu
  11. backbenchers

    JamiiForums Tanzania LHRC, TLS, Dk. Slaa wamfungulia Kesi ya Kikatiba Waziri Katambi kupinga amri ya kuzuia Mikutano ya Hadhara ya Kisiasa

    Ewaaaa, sasa hawa ndio tunaziita akili zenye watu. Hatakama mahakama ikilitupa hili shauri, ila ishaonekana serikali yenyewe inavunja sheria nakukandamiza wanasiasa wa upinzàñi. Sio hawa hawa viongozi mbumbu waliojaa serikalini na bungeni ambao wanafyata mdomo wakati sheria zinavunjwa, wanabaki...
  12. backbenchers

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Kuna wanaojiita wanaharakati lakini kiuhalisia matendo yao ni ya kigaidi

    Unamtishia nani ss, watu tunauchungu na watu waliopoteza uhakika kwakuuwa wa majumbani mwao bila sababu yoyote we unajidai unauchungu na miundombinu? Najua wewe umepandikizwa tu humu ili uvuruge vitu. Mungu akurehemu
  13. backbenchers

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Sina heshima na wanaharakati hata kidogo na sijali, ni wahalifu wa nchi hii

    Ikitokea siku mtu akuambie inaakili kama za mwigulu, pigana naye mpaka umtoe damu, yaan huyu bwana anaakili fupi mnoo, a very selfish man. A Very stupid man
  14. backbenchers

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu; Kama wanaharakati ni tatizo, kwanini wanaowaua waandamanaji hawakamatwi?

    Hamna kitu hapa, yaan huyu jamaa mi simpendi, nadharau mnoo na maneno maneno ya kejeli Waliopiga risasi nakuwauwa wananchi majumbani mwao ni hao wanaharakati. This is a very stupid leader, bure kabisa hamna kitu kichwani.
  15. backbenchers

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Kuna wanaojiita wanaharakati lakini kiuhalisia matendo yao ni ya kigaidi

    We mama wewe, ulichotufanyia 29Oct hatujakisahau, hatutakaa tukisahau na hatukusamehi milele #hatusahau29Øct
Back
Top Bottom