Kwakiufupi we mtanganyika nyamaza, fyata huo mdomo wako, hauna hata chembe 1 ya haki kwenye nchi yako pamoja tumeshawaua ndugu zako October ya 2025
#BackBencher
Dah, vijana wakitanzania wananisikitisha sana kwa uchawa, yaan paragraph ndeefu. Zote nikumsifia mtu 1 na hakiendani na zumuni la kichwa cha habari cha story yenyewe, hii nchi ilipofikia ni
1. Watu tuamue kubadlika kifikra , kinidhamu na matendo
2. Kutaka mabadiliko sasa hivi na sio baadae au...
Manispaa ya Moshi mjini kunanuka kuoza kwasababu ya rushwa, kila kitu ni deal na wananchi tunazidi kukandamizwa nakuumizwa kwasababu ya baadhi ya wafanyakazi wa ofisi ya Mkurugenzi wa manispaa hii.
Soma post hii upate picha ya uhuni unaofanywa ndani yaanispaa ya Moshi mjini
Thread 'Ofisi za...
Wakuu habari za leo,
Wakati wananchi wengi wakilalamikia upotevu wa maeneo ya wazi, hali inaonekana kuwa mbaya zaidi Moshi mjini. Ofisi za ardhi na ofisi ya Mkurugenzi wa manispaa ya Moshi mjini zinatajwa kuwa kiini cha rushwa inayohatarisha haki za wananchi.
Kuna taarifa na malalamiko mazito...
Ndo tuseme hela ya matumizi unayompa haitoshi ama vp?
Na ujue kama usinge m'bana angepiga kimya, na kuwa kimya kwake means ataendelea na huo tabia ya wizi, cha zaidi hapo ni ww kuwa mkali, usiwe mpole hata kidogo, ukimnyamazia hyo tabia atarisisha hadi watoto wenu. Kuwa mkali kuwa strict, na...
Ndugu hapo ulipopagusa ndio penyewe, siasa za Tanzania zimekuwa ni unafki mtupu, siasa ya ya Tanzania saivi napenda kuiita ASS KISSING POLITICS yaani watu nikuyaangalia matumbo yao tu, watu wamekuwa wanafki, watu niwaongo ilimradi tu washibishe matumbo yao. Mbaya zaidi ni hizi tabia kweli...
NARUDIA TENA
Watanzania tunachezewa akili sana ikifika kipindi cha uchaguzi, tunachezewa sana, michezo yakutishiwa tishiwa iko openly sana kutoka kwenye vyombo vya usalama. Huu ni ujinga wa hali ya juu
THIS IS BEYOND STUPIDITY
#SIASAMBOVU
#TANZANIAamka
#backbenchers
KWANINI HUYU BWANA HAYUPO JELA?
Vyombo husika mbona vinampuuzia nakumfumbia macho? Kama alikamatwa mwaka Jana kwanini hajafunguliwa mashtaka nakutupwa jela?
WHY IS THIS MAN FREE AND ENDANGERING PEOPLES LIVES?
#BACKBENCHERS
Kama ndani ya chama wanafanyiana wenyewe kwa wenyewe uhuni bila kuficha, kipi chakushangaza kama wanawafutia majina chadema kwenye uchaguzi nakuwafungulia kesi zakuwazushia nakubambikiza yaan fusiemu kumejaa mashetani tu na watu wanaoangalia matumbo yao tu
#siasambovuzabongo
#tanzaniaAmka...
Tukishafikaga kukaribia uchaguzi basi watanzania tunanza kuchezewa phycological mind games, yaan tunachezewa kiakili tu. Ona kama hii ni njia Moja yakunyamazisha watu, kukamdamiza watu kiakili na kifukra kwakuwajaza woga. Kwani kuwe na Moshi? kwanini kuwe na moto? na kwann polisi wao sasa hivi...
Kuna wakati nakaa nakuwatathmini watu kama huyu bwana na wenzake waliojaa huko serikalini yaan ikiwemo pia namabosi wake, nasikitika sana coz naona kabsa jinsi wanavyotuchukulia sisi watanzania kuwa niwapuuzi, wajinga na hatuelewi kitu. Yaani kweli eti maudhui yaliyomo kwenye mtandao wa X ndio...
Yaani afrika ukishakuwa upinzani basi jua maisha yako yako hatarini kila kukicha. Watanzania na sisi tujifunze kitu hapa, viongozi wakishashiba nakuelewa madaraka basi wanajiona mungu watu, haya ndio matokeo yake sasa. Upuuzi juu ya upuuzi. Hapa Tanzania yenyewe tunaona kurupushani na serekasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.