Recent content by backbenchers

  1. backbenchers

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba: Watanzania tunapaswa kuishi kwa misingi ya upendo, unyenyekevu, haki na uwajibikaji

    Kwakiufupi we mtanganyika nyamaza, fyata huo mdomo wako, hauna hata chembe 1 ya haki kwenye nchi yako pamoja tumeshawaua ndugu zako October ya 2025 #BackBencher
  2. backbenchers

    JamiiForums Tanzania Hii Ndio Namba Ya Simu ya Kumpigia Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba kwa wenye shida na kero yoyote ile sugu. Ameitoa mwenyewe hadharani

    Dah, vijana wakitanzania wananisikitisha sana kwa uchawa, yaan paragraph ndeefu. Zote nikumsifia mtu 1 na hakiendani na zumuni la kichwa cha habari cha story yenyewe, hii nchi ilipofikia ni 1. Watu tuamue kubadlika kifikra , kinidhamu na matendo 2. Kutaka mabadiliko sasa hivi na sio baadae au...
  3. backbenchers

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya maneno ya English Wabongo walivyoyaharibu kimatamshi

    Machinga= Marching Guy
  4. backbenchers

    JamiiForums Tanzania Moshi FM Radio Kilimanjaro: Mjitafakari na Mjitadhimini katika Utendaji Wenu kwenye utoaji wa taarifa za Miradi ya Moshi Manispaa

    Manispaa ya Moshi mjini kunanuka kuoza kwasababu ya rushwa, kila kitu ni deal na wananchi tunazidi kukandamizwa nakuumizwa kwasababu ya baadhi ya wafanyakazi wa ofisi ya Mkurugenzi wa manispaa hii. Soma post hii upate picha ya uhuni unaofanywa ndani yaanispaa ya Moshi mjini Thread 'Ofisi za...
  5. backbenchers

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Ofisi za Ardhi Moshi Mjini Zadaiwa Kula Milioni 15 Ili Kufanikisha Uporaji wa Eneo la Umma

    Wakuu habari za leo, Wakati wananchi wengi wakilalamikia upotevu wa maeneo ya wazi, hali inaonekana kuwa mbaya zaidi Moshi mjini. Ofisi za ardhi na ofisi ya Mkurugenzi wa manispaa ya Moshi mjini zinatajwa kuwa kiini cha rushwa inayohatarisha haki za wananchi. Kuna taarifa na malalamiko mazito...
  6. backbenchers

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu ana tabia za wizi na udokozi

    Ndo tuseme hela ya matumizi unayompa haitoshi ama vp? Na ujue kama usinge m'bana angepiga kimya, na kuwa kimya kwake means ataendelea na huo tabia ya wizi, cha zaidi hapo ni ww kuwa mkali, usiwe mpole hata kidogo, ukimnyamazia hyo tabia atarisisha hadi watoto wenu. Kuwa mkali kuwa strict, na...
  7. backbenchers

    JamiiForums Tanzania GE2025 Je, uchawa au kujipendekeza kwa wagombea ndicho chanzo pekee kinachovuruga demokrasia na haki za wapiga kura?

    Ndugu hapo ulipopagusa ndio penyewe, siasa za Tanzania zimekuwa ni unafki mtupu, siasa ya ya Tanzania saivi napenda kuiita ASS KISSING POLITICS yaani watu nikuyaangalia matumbo yao tu, watu wamekuwa wanafki, watu niwaongo ilimradi tu washibishe matumbo yao. Mbaya zaidi ni hizi tabia kweli...
  8. backbenchers

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kamanda Muliro: Nina uhakika kwa Jeshi hili, sidhani kama yupo anaependa kufa!

    NARUDIA TENA Watanzania tunachezewa akili sana ikifika kipindi cha uchaguzi, tunachezewa sana, michezo yakutishiwa tishiwa iko openly sana kutoka kwenye vyombo vya usalama. Huu ni ujinga wa hali ya juu THIS IS BEYOND STUPIDITY #SIASAMBOVU #TANZANIAamka #backbenchers
  9. backbenchers

    JamiiForums Tanzania Daktari feki aliyekamatwa Muhimbili aibukia tena Amana kutapeli watu. Huyu hapa akiwa amebananishwa

    KWANINI HUYU BWANA HAYUPO JELA? Vyombo husika mbona vinampuuzia nakumfumbia macho? Kama alikamatwa mwaka Jana kwanini hajafunguliwa mashtaka nakutupwa jela? WHY IS THIS MAN FREE AND ENDANGERING PEOPLES LIVES? #BACKBENCHERS
  10. backbenchers

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wanachama CCM Minera, Ulanga watishia kurudisha kadi za Chama

    Kama ndani ya chama wanafanyiana wenyewe kwa wenyewe uhuni bila kuficha, kipi chakushangaza kama wanawafutia majina chadema kwenye uchaguzi nakuwafungulia kesi zakuwazushia nakubambikiza yaan fusiemu kumejaa mashetani tu na watu wanaoangalia matumbo yao tu #siasambovuzabongo #tanzaniaAmka...
  11. backbenchers

    JamiiForums Tanzania GE2025 Jeshi la Polisi limejipanga na viashiria vyovyote vya vurugu, "Tukiona moshi unafuka hatutasubiri moto uwake tutachukua hatua "

    Tukishafikaga kukaribia uchaguzi basi watanzania tunanza kuchezewa phycological mind games, yaan tunachezewa kiakili tu. Ona kama hii ni njia Moja yakunyamazisha watu, kukamdamiza watu kiakili na kifukra kwakuwajaza woga. Kwani kuwe na Moshi? kwanini kuwe na moto? na kwann polisi wao sasa hivi...
  12. backbenchers

    JamiiForums Tanzania TCRA: X ndio wamesitisha huduma nchini. Tuliongea nao waondoe maudhui ambayo hayana "maadili" ya Kitanzania

    Kuna wakati nakaa nakuwatathmini watu kama huyu bwana na wenzake waliojaa huko serikalini yaan ikiwemo pia namabosi wake, nasikitika sana coz naona kabsa jinsi wanavyotuchukulia sisi watanzania kuwa niwapuuzi, wajinga na hatuelewi kitu. Yaani kweli eti maudhui yaliyomo kwenye mtandao wa X ndio...
  13. backbenchers

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Mwendokasi ina mabasi 60 tu, mara ya kwanza yalikuwa takribani 200"

    BRAAADDII FWAKEENNNNN Mtu mweusi akikabithiwa mradi mkubwa tu yaan anakakikisha anausiraaa wee nakuhakukikisha unakufa #UpuuziUnaendele #TanzaniaAmka #BackBencher
  14. backbenchers

    JamiiForums Tanzania Ivory Coast: Atupwa jela kwa kuandika mtandaoni 'bora rais asingezaliwa'

    Yaani afrika ukishakuwa upinzani basi jua maisha yako yako hatarini kila kukicha. Watanzania na sisi tujifunze kitu hapa, viongozi wakishashiba nakuelewa madaraka basi wanajiona mungu watu, haya ndio matokeo yake sasa. Upuuzi juu ya upuuzi. Hapa Tanzania yenyewe tunaona kurupushani na serekasi...
Back
Top Bottom