Habari nauza kiwanja changu kipo Zanzibar Kiwengwa, kina ukubwa 33*30 kutoka kwenye kiwanja hadi beach ni dakika 5 kwa kutembea. Kiwanja kinafaa kwa makazi binafsi lakini pia kwa biashara
Nauza kwa tsh 30million maongezi yapo 🙏
Namba ya simu 0764090800
Mimi ni binti wa miaka 26 elimu yangu stashahada ya utunzaji fedha. Ila sichagui kazi kikubwa iwe tu ya halali 🙏kwa kua hali ngumu.
Kazi ambazo naweza kufanya
Utunzaji stoo
Mapokezi
Mauzo (sales officer)
Napatikana Kibaha, Pwani.
Mimi ni binti miaka 26
Nina elimu ya stashahada ya utunzaji fedha naishi Kibaha Pwani.
Nipo hapa kuomba ajira ndugu zangu nipo tayari kufanya kazi mkoa wowote 🧎🏻♀️🙏
je unahitaji kujenga iwe nyumba; gorofa swimming pool; kuchorewa ramani; kukaguliwa ubora wa jengo lako? kama jibu ni ndio basi tunakukaribisha ujenge na sisi office yetu ipo kibaha maili moja. mawasiliano 0757854660 njoo ofisini tuongee vizuri!! lakini pia kampuni yetu ina husika pia na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.