Recent content by Babuu1985

  1. B

    Nafsi inaniuma kwa kushindwa kumssidia asiibiwe

    We jamaa ingekua huku kwetu chuga tungekua*#$#__&&...we ni ree sana
  2. B

    Msaada: Baba yangu ana tatizo la kuanguka na kukakamaa mwili huku akisaga meno

    usije ukaenda kwa waganga was kienyeji..tulizunguka kwa waganga wote wa Tanzania Hilo sio tatizo la huko..ni nerves kichwani ndo tatizo..maelezo yako na ya ndugu yangu ndii hivyo hivyo
  3. B

    Msaada: Baba yangu ana tatizo la kuanguka na kukakamaa mwili huku akisaga meno

    Nina ndugu yangu alikuaga anatatizo Kama hilo hivyo hivyo ulivyolezea..alizunguka kila hospital na kufanya vipomo vingi Sana baadae akagundulika Ana tatizo na nerves kichwani akapewa dawa za kutumia kwa muda was miaka miwili na kila baada ya miezi 3 anaenda kufanya vipomo miaka miwili inaisha...
  4. B

    Nikipenda tena nigeuke nguruwe

    Ukigeuka nguruwe jamaa atakua kala wife na wewe utaliwa..mtaliwa wote
Back
Top Bottom