Mzee Mangula ni mchapa kazi na mwana CCM damu! CCM imecheza kama Pele na akipitishwa kwa nafasi hiyo ya juu walau ataleta discipline ndani ya Chama for sure!
Kwanza, pamoja na kwamba picha niliziziona humu ndani ni saaafi, nioni maana ya kulinganisha makaazi ya mijiji ya Kenya na Tanzania kwa kigezo cha makaazi! Its like comparing apples and potatoes! Haingii akilini! Ni kanakwamba kumlinganisha mrembo mzuri wa Manzese na asiye mrembo wa Oysterbay...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.