Huyo tangu walivyomaliza form cix alionekana ataenda kuwa cgf wa magereza, sema lazima aanzie Polisi na baadae Jwtz ndo awe cgf wa Magereza.. Hiyo ni ikulu inafanya kumpitisha sehem mbalimbali zenye misukosuko
Watu wa nindo hawatulii sehem moja, kila cku wanahama hama lakin wenzao wa Kishapu kila cku wanamek hapa hapa Bongo na mambo yanaenda.. Wamekuwa watu wakuhama mataifa, hata kutulia sehem moja hakuna!
Kwa Makwaia lazima dada zao wazalishwe kwanza na watoto wawaite Anko wakina Henry ndo mambo mengine yaelendelee.. 😂
Hayo maisha sio mazur, ni bora kutulia na kutafuta maisha mazur kwa njia ya halal bila udhalilishaji wa namna hiyo..
Mwanaume unaenda kwa mashemej ili wakubebe! Ila ndo duniani...
Hawa wakina Sean Paul na Kat Deluna ndo kizaz cha yule cgf wa 1975, aliyeasis jina la chama cha mapinduzi. Hata Pierre Aubemeyang ni mtoto wa yule cgf. Yule Cgf mstaafu alizaa sanaa na watoto wake weng wapo nje ya nchi wanatumia fursa za kibalozi vizuri
Alfa brondi yule muimba rege ni kizaz cha Makwaia, hao watu wanazaliana sanaa lakin hawawezi kusaidia watu wengine na hawapo tayari kuona mtu aliyechini yao anafanikiwa Zaid yao..
Kuna watu walkuwa wanatafuta kaz kwa unyenyekevu mkubwa, lakin walivyopata waliishia kwenye ulevi na saiv hawana kitu, zaid kuendelea kujiuguza magonjwa ya zinaa..
Kuna watanzania wamepiga hatua kubwa za kimaendeleo, hawa wengne tunawapatia kaz lakin bado hawajielew na wanatumbukia kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.