Awamu tatu za mwanzo walikuwa hawafuati sheria za kimataifa kwa upande wa majesh, matokeo yake walijikuta wana majesh ambayo misingi yake ni kupigana vita na kuwa adui wa raia! Hata mitambo pamoja na vifaa vya kijeshi viliharibika na kutotengenezwa kwa mda mrefu kutokana na kukosa wataalam.. 🙏
Mwamunyange alikuwa ni Kapteni wa jeshi kipindi anateuliwa kushika nafasi ya ucdf na baada ya uteuz kuisha, alipandishwa cheo na kuwa Meja. Hivyo na yeye hatambulik na serikali, anayetambulika kama cdf wa kwanza ni Mabeyo.. 🙏
Shida yao kubwa ni kujifananisha na wahutu, ile tabia ya kuzaa na kusambaza watoto imewaharibia sanaa na kuwarudisha nyuma kimaendeleo. Odinga alijitahid kuwakemea na kuwazuia tabia zao mbaya, lakin bado wanaendelea kuzaa na kusambaza watoto wao wa kuwaza wenyewe kwa watu bak kabla ya umri.. 🙏
Hao watu wana nguvu kubwa sanaa kwa upande wa Tanzania na ndo watanzania wenyewe hao! Hata Malawi walishaikabizi kwa Tanzania kutokea Zambia na ipo chini ya jesh la magereza.. 🙏
Mimi hayo huwa nawafundisha had namna ya kuchagua mke! Maana saivi unaweza kujikuta unanyatia mzuka au mwitunga! Unakuta demu ni mkalee, kumbe alishawahi kufa na kuzikwa huko Mombasa. Kwahiyo sisi kama Walimu huwa kuna namna ya kuwaangalia hao viumbe.. 🙏
Wale watu walikuwa ni wajinga sanaaa! Yule Mama Kalani wa mahakama aliahidiwa atapewa malori matano kama atampokea Jeradi na kumlea vizur..
Mama Kalani kwa shida zake akakubali kumlea Jeradi kwa hali na mali, lakini kosa lake lilianzia pale alivyokubal kumlea mtoto halaf atapewa malori baadae...
Huyo binti ni kizazi cha Kaunda! Trey songs ni mtoto wa Kaunda, Fabulous ni mtoto wa Michael Sata na Lloyd Banks ni mtoto wa Nelson Mandela..
Abed Pele alizaliwa Shinyanga Mjini kabla ya kuhamia Brazili na watoto wake wanaishi Ghana na visiwa vya Dominikani! Nyumba aliyozaliwa Pele ipo hapo...
Haya yote huwa wanafundishwa! Waache wajifanye vichwa ngumu, tena gereza kwa kuwasaidia ndo lilikuwa linachukua hata watu ambao hawajamaliza standard seven..
Had leo ndo jesh la magereza lipo hivyo! Hakuna kubaki mtu uraiani, kule kuna kaz za kila aina hata za watu ambao hawajui kusoma wala...
Hao ndo wenye Maisha clubs zote na ndo walionunua timu ya daraja la kwanza ya cosmopolitan, lakin ndugu wa mwenye mali wana hali mbaya! Ila wale waliohamia Kongo walifanikiwa kupata hela zao..
Baada ya kufaham Jeradi ana zawadi ya nyumba ya Oysterbay, wakaanza kufanya mipango ya kutapel hiyo...
Hakuna kitu cha bure! Toa kitu, upate kitu. Wenzio wanaendelea kupata vitu vizur. Saivi kioo ina nyumba 35 pale Kenya na ndugu hawajaambulia hata nyumba moja.. 🙏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.