Recent content by BABU NYAU

  1. BABU NYAU

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Awamu tatu za mwanzo walikuwa hawafuati sheria za kimataifa kwa upande wa majesh, matokeo yake walijikuta wana majesh ambayo misingi yake ni kupigana vita na kuwa adui wa raia! Hata mitambo pamoja na vifaa vya kijeshi viliharibika na kutotengenezwa kwa mda mrefu kutokana na kukosa wataalam.. 🙏
  2. BABU NYAU

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Mwamunyange alikuwa ni Kapteni wa jeshi kipindi anateuliwa kushika nafasi ya ucdf na baada ya uteuz kuisha, alipandishwa cheo na kuwa Meja. Hivyo na yeye hatambulik na serikali, anayetambulika kama cdf wa kwanza ni Mabeyo.. 🙏
  3. BABU NYAU

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Shida yao kubwa ni kujifananisha na wahutu, ile tabia ya kuzaa na kusambaza watoto imewaharibia sanaa na kuwarudisha nyuma kimaendeleo. Odinga alijitahid kuwakemea na kuwazuia tabia zao mbaya, lakin bado wanaendelea kuzaa na kusambaza watoto wao wa kuwaza wenyewe kwa watu bak kabla ya umri.. 🙏
  4. BABU NYAU

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Mbilikimo ni dili kwenye misitu ya Kongo.. 🙏
  5. BABU NYAU

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Hao watu wana nguvu kubwa sanaa kwa upande wa Tanzania na ndo watanzania wenyewe hao! Hata Malawi walishaikabizi kwa Tanzania kutokea Zambia na ipo chini ya jesh la magereza.. 🙏
  6. BABU NYAU

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Mimi hayo huwa nawafundisha had namna ya kuchagua mke! Maana saivi unaweza kujikuta unanyatia mzuka au mwitunga! Unakuta demu ni mkalee, kumbe alishawahi kufa na kuzikwa huko Mombasa. Kwahiyo sisi kama Walimu huwa kuna namna ya kuwaangalia hao viumbe.. 🙏
  7. BABU NYAU

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Wale watu walikuwa ni wajinga sanaaa! Yule Mama Kalani wa mahakama aliahidiwa atapewa malori matano kama atampokea Jeradi na kumlea vizur.. Mama Kalani kwa shida zake akakubali kumlea Jeradi kwa hali na mali, lakini kosa lake lilianzia pale alivyokubal kumlea mtoto halaf atapewa malori baadae...
  8. BABU NYAU

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Huyo binti ni kizazi cha Kaunda! Trey songs ni mtoto wa Kaunda, Fabulous ni mtoto wa Michael Sata na Lloyd Banks ni mtoto wa Nelson Mandela.. Abed Pele alizaliwa Shinyanga Mjini kabla ya kuhamia Brazili na watoto wake wanaishi Ghana na visiwa vya Dominikani! Nyumba aliyozaliwa Pele ipo hapo...
  9. BABU NYAU

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Nissan ilinunuliwa kpindi cha Mwinyi! Kampuni zote zinazoshabihana na Nissan zipo chin ya Tanzania
  10. BABU NYAU

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Haya yote huwa wanafundishwa! Waache wajifanye vichwa ngumu, tena gereza kwa kuwasaidia ndo lilikuwa linachukua hata watu ambao hawajamaliza standard seven.. Had leo ndo jesh la magereza lipo hivyo! Hakuna kubaki mtu uraiani, kule kuna kaz za kila aina hata za watu ambao hawajui kusoma wala...
  11. BABU NYAU

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    huwa wanawapiga picha wakiwa mlangon na mabeg yao ya nguo! Ni Unyanyasaj na Ukatili wa hali ya juuu
  12. BABU NYAU

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Ulishaona wapi Jeneral anakufa kwa Aids! Tena the coming is a Field Marshall, Jeneral wa nyota tano..
  13. BABU NYAU

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Jenaral kufa na magonjwa ya zinaa, ni sawa na inzi kufia kwenye kidonda. Huwa ni uzembe na mara chache hutokea.. 😂
  14. BABU NYAU

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Hao ndo wenye Maisha clubs zote na ndo walionunua timu ya daraja la kwanza ya cosmopolitan, lakin ndugu wa mwenye mali wana hali mbaya! Ila wale waliohamia Kongo walifanikiwa kupata hela zao.. Baada ya kufaham Jeradi ana zawadi ya nyumba ya Oysterbay, wakaanza kufanya mipango ya kutapel hiyo...
  15. BABU NYAU

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Hakuna kitu cha bure! Toa kitu, upate kitu. Wenzio wanaendelea kupata vitu vizur. Saivi kioo ina nyumba 35 pale Kenya na ndugu hawajaambulia hata nyumba moja.. 🙏
Back
Top Bottom