Siasa ya Tanzania baada ya 1975, ilikuwa ni vichekesho na wengine walivamia fani na kujikuta wanapoteza kila kitu. Wakina Judith walikuwa sio lazima kuingia kwenye siasa na yeye ndo alikuwa mwenye hela!
Kikwete alikuwa Mario na nafas ya Mama Salma ilikuwa ni nafasi ya Judith kabla ya umauti...
Royal families zinajijenga kwa namna hiyo, ukiwa Kenya kuna Dynasties na Tanzania zitakuja Royal families zenye nguvu ya kiuchumi na kisiasa. Hao wengine waacheni wagawe watoto na kula Bata..
Saivi Toyota landcruiser fupi inaenda kwa tsh 145milion, zikiwa mbili unachukua mabas 12 ya Polo G2...
Au mbuzi kafia kwa muuza supu.. 😂 Hata wakina Kenyatta wapo kama wakina Nyerere, wote ukiweka vitu kwao kuvipata sahau.. 🙏 Baadae Nyamka ndo akaichukua hiyo tabia na aliwatapel watu wengi sanaa wa Shinyanga vijijn na Magereza..
Shinyanga vijijn ni matapeli sana! Wakina Judith walikuwa wana hela...
Saivi UN imeoongeza nafasi moja moja kwenye kila nafasi, askari magereza watakuwa ni wale walioingia sita bora kwenye mitihani ya moko kuanzia moko kata, moko wilaya, moko mkoa na moko kanda..
Halaf viongoz wa jesh la magereza watakuwa ni wale walioingia sita bora kitaifa kwenye masomo ya uraia...
Saivi mtakuwa mnajua hata namna ya kujadili vizuri! Kambona na Nyerere wote walikuwa na makosa kwa upande wa kila mmoja, lakini taifa kama taifa likasimama katika muhimir wake. It's over and topic is closed.. 🔐
Very good! Kutambulika sio kazi ya haraka haraka ndani ya miezi tisa tu baada ya kujifungua inakua tayari mwanamke ametambulika? Inatakiwa kuzaa watoto kuanzia watatu..
Hata ikitokea mwanaume mmoja akazaa na wanawake zaid ya 100, kama wote watakuwa wamezaa kuanzia watoto 3 bas wote watapata...
Huyo first lady yupo kama mhutu, Watoto wake wa kike walikuwa Shinyanga Mjini kipindi flan na walikuwa Kizumbi pale..
Shinyanga vijijn wangekomaa na familia zao wangekuwa mbali sanaa, lakini elimu waliipa kisogo na kuendekeza starehe. Saivi ukitaka kuishi vizuri Tanzania, epuka watu wa...
Kipindi kile Shinyanga Mjini kulikuwa kuna watu, saivi hamna kitu! Pale Town school kulikuwa kuna wakina Elnaike Elias, kila wiki lazima taarifa itoke ubalozi wa Libya na Swideni!
Halaf kulikuwa kuna wakina Ismaili, mtoto wa Michael Jackson na mjukuu wa Makwaia baadae alienda Rajani kwa masomo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.