Recent content by BABU MKUKUMILA

  1. B

    Ukimya wa Lowassa kwenye sakata la Tundu Lissu kupigwa risasi...

    UTI! Hiyo Ni gonorrhea sugu toka kwenye shahawa za mchepuko WA mamaako
  2. B

    Kujiita Mesi au Tshabalala ni haki au ni ushamba?

    Nadhani hawajiiti bali wanaitwa na mashabiki
  3. B

    Wajumbe mliokuwa Dodoma kwenye uchaguzi wa TFF mlikuwa mnamuwakilisha nani?

    Nimefurahi sana Wamatopeni kukamata TFF, Hongera wajumbe kwa kutusaidia, mabingwa wa kihistoria kukata mzizi wa fitina. Wanakera sana hawa Malalamiko FC.
  4. B

    Yanga SC acheni kumfanyia vurugu mchezaji Niyonzima wa Simba SC

    Vurugu airport saa 9 alfajiri! How comes. Mleta mada acha utapeli. Wewe ni sawa na wale wanaodanganya watu kuwa msafara wa Rais ulizuiwa na wananchi barabarani. Usiamini kila kinachoandikwa kwenye gazeti ndugu.
  5. B

    Yanga SC acheni kumfanyia vurugu mchezaji Niyonzima wa Simba SC

    Kwa hali hii mkiitwa Mbumbumbu FC mnaonewa?
  6. B

    Mrisho Ngasa kumwaga wino punde mwaka 1 Jangwani

    Si vibaya mtumishi kustaafia nyumbani.
  7. B

    Mrisho Ngasa kumwaga wino punde mwaka 1 Jangwani

    Mkuu, kwani biashara yake imechina huko bondeni?
  8. B

    Mrisho Ngasa kumwaga wino punde mwaka 1 Jangwani

    Tumegee kidogo siri kuhusu uwepo wa Banda hapa nchini.
  9. B

    Mrisho Ngasa kumwaga wino punde mwaka 1 Jangwani

    Ahsante Yanga kwa uamuzi wa busara, karbu Ngasa ustaafie nyumbani.
  10. B

    Yanga;Nawashauri muwapeleke akina said makapu katika timu nyingine kwa mkopo.

    Kila timu ina first eleven na wachezaji wa akiba, ndiyo maana kila timu inasajili wachezaji 25 au zaidi na hakuna timu inayitumia wachezaji wote.
  11. B

    First eleven yangu ya Yanga 2017-18

    Ni jambo la hatari sana kulazimisha mapenzi. Kama una akili timamu utamng'ang'aniaje asiyekupenda? Walikuwepo viungo machachari kama Issa Athuman, Athuman China, Charles Bonifas Mkwasa na wengine wengi tu, lakini leo hawapo tena na bado yanga inachukuwa vMakombe. Niyonzima ni mchezaji mzuri...
  12. B

    First eleven yangu ya Yanga 2017-18

    Mkuu tulia, kikosi kipana ndio siri ya ushindi.
Back
Top Bottom