Nimefurahi sana Wamatopeni kukamata TFF, Hongera wajumbe kwa kutusaidia, mabingwa wa kihistoria kukata mzizi wa fitina. Wanakera sana hawa Malalamiko FC.
Vurugu airport saa 9 alfajiri! How comes. Mleta mada acha utapeli. Wewe ni sawa na wale wanaodanganya watu kuwa msafara wa Rais ulizuiwa na wananchi barabarani. Usiamini kila kinachoandikwa kwenye gazeti ndugu.
Ni jambo la hatari sana kulazimisha mapenzi. Kama una akili timamu utamng'ang'aniaje asiyekupenda? Walikuwepo viungo machachari kama Issa Athuman, Athuman China, Charles Bonifas Mkwasa na wengine wengi tu, lakini leo hawapo tena na bado yanga inachukuwa vMakombe. Niyonzima ni mchezaji mzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.