IT ni kifupi cha In Transit
Hii ni In transit cargo, kwa maana ni mzigo ambao umepokelewa Kwetu Tz ila bado upo safarini kuelekea kwenye Nchi iliyokusudiwa kama Zambia, Congo, Malawi, nk
Kwa hizo gari huwa zinaandikwa IT na namba za kuutambulisha mzigo mbele yake.
Mizigo mingine ni kama...
Michoro ya 3D tuu haijitoshelezi Mkuu..
Architectural/ Mechanical/ Electrical au.....?
Weka wazi ni upande gani hasa unahitaji na ofisi zenu zipo MKOA gani au sehemu gani hasa ili iwe rahisi kwa walengwa kusogelea fursa.
Nashukuru sana kwa swali!
Mikataba kama mikataba ya makubaliano ipo, na mara zote kabla ya kuafikiana jambo lazima kuna mawasiliano ambayo kwayo mnakubaliana ni namna gani mtaiendea kazi husika hasa ikiwa ya maandishi mfano sms, emails, nk. Nayo ni sehemu ya Mkataba
Ila kwa asili ya biashara...
Nashukuru sana!
Kwa upande wa hii biashara yetu kimsingi tunahitaji mambo machache sana, na vigezo vyake ni rahisi kama muhusika ana nia ya kweli.
1. Kujitambua
Katika hili tunahitaji mtu ambaye anajitambua na anatambua ni kwanini yupo mahala fulani ili aweze kujisimamia mwenyewe katika...
Ama kwa hakika mwandishi umezungumza mengi yaliyo ya kweli hususani kwa jamii na kizazi cha wahitimu wengi wanaokabiliana na changamoto hii.
Kila mtu kwa nafasi yake anatosha Kuwa shahidi kwa yale ambayo yanamgusa yeye binafsi moja kwa moja.
Kwa kupitia nafasi hii, naomba niwape fursa baadhi...
Binafsi nahitaji watu wa kushirikiana nao kufanya matangazo yaani wawe kama mawakala wa kuuza viwanja.
Kwasasa tuna miradi Vikindu, kisemvule na baadhi ya maeneo ya Mkuranga.
Wakala atalipwa kwa kila mteja atayemleta na kununua.
Kwa maelezo zaidi nicheck PM
Wala hujakosea Chief, kwani hiyo horse/ tractor ya Semi inauwezo wa kuvuta tela yenye mzigo kiasi gani? Au kuna horse yenye uwezo wa zaidi ya tani 10 kwa matumizi ya kawaida hapa kwetu?
Hiyo tani tano ni max capacity inayoweza beba kutokana na body yake.
Mitsubishi Canter
Engine Code: 4D 33
Gari ipo katika hali nzuri sana, na kwasasa haifanyi kazi yeyote (imepaki) inapatikana Posta, Dar es salaam.
Asking price: 22M (maongezi yapo)
Kwa yeyote anayehitaji kuikagua tafadhali wasiliana nasi kupitia
0787600849
0623433833
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.