Recent content by Baba Vladmir

  1. Baba Vladmir

    JamiiForums Tanzania Naomba usaidizi: Uume hausimami

    Pole Sana! Hili ni tatizo la watu wengi kwa sasa.Bado unaweza kurejea.Ukiwa na nafasi nitumie ujumbe binafsi PM tujadiliane
  2. Baba Vladmir

    JamiiForums Tanzania Msaada hivi vipele vimekuwa changamoto.

    Hii Hali inatokea sehemu yote ya mwili au baadhi ya sehemu?? Kama ni baadhi ni sehemu ipi hiyo? Umri wako upoje kwa Sasa? Nijibu hapo ili nione pa kuanIa
  3. Baba Vladmir

    JamiiForums Tanzania Anaejua dawa ya presha anisaidie nimeambiwa presha yangu ipo juu

    Miaka 32 una presha....!? Pole Sana. Unaweza kuni PM halafu nitakuelekeza Jambo!
  4. Baba Vladmir

    JamiiForums Tanzania Miezi 4 bila kuingia JF, Poleni tuliopotezana

    Jambo Wakuu! Takribani miezi minne imepita Sasa tangu nilipo-interact hapa kwa mara ya mwisho.Hakika imekuwa ni safari ndefu mno maana nimepotezana na watu wengi Sana wa maana kwangu ambao tulizoea kubadilishana maarifa na ujuzi mbalimbali. Ninamshukru Mungu leo nimefanikiwa tena kuingia...
  5. Baba Vladmir

    JamiiForums Tanzania Kujichua, faida kiafya na kisaikolojia na mambo ya kuzingatia

    Kujichua ni Jambo mbaya kwa akili ya afya na roho.
  6. Baba Vladmir

    JamiiForums Tanzania Kwa wanawake wenye changamoto ya matatizo ya kizazi

    Hi ni maalumu kwa wanawake wanaosumbuliwa na matatizo mbalimbali ya mifumo ya uzazi. Kuhusu Wanaume nilishaandika Sana hapa. Leo ninawapa mchanganyiko maalumu wa mimea tiba ambao inaweza kuponya mfumo wa uzazi wa mwanamke na ukarejea katika utimamu wake. Mchanganyiko huu hufanya Mambo...
  7. Baba Vladmir

    JamiiForums Tanzania Afya ndiyo mtaji wako,usikubali utetereshe afya yako kwa vitu visivyo vya lazima

    Taf Tafuta kitu kinaitwa black mushroom,kinapatikana supermarket za kimataifa,hususani za wachina,pamoja na apple cider vinegar.Ukipata ni-allert nitakufundisha namna ya matumizi.Hautajuta!
  8. Baba Vladmir

    JamiiForums Tanzania Afya ndiyo mtaji wako,usikubali utetereshe afya yako kwa vitu visivyo vya lazima

    Hapo tayari unaumwa. Kitendo cha mfumo wako wa mwili kuwa tegemezi wa energy drinks ni ugonjwa tayari.
  9. Baba Vladmir

    JamiiForums Tanzania Afya ndiyo mtaji wako,usikubali utetereshe afya yako kwa vitu visivyo vya lazima

    Katika kipindi hiki,ninakutana na watu mbalimbali( wengi Sana) wenye changamoto za afya hususani magonjwa yasiyoambukiza. Kila nikiketi na kujadili nao juu ya kinachowasumbua ninagundua ni kujiingiza kwenye vitu visivyo vya lazima kwao. 1. Ufuatiliaji wa Mambo ya siasa kupita kiasi 2...
  10. Baba Vladmir

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Una ushuhuda gani kuhusu suluhu la matatizo ya uzazi kupitia waganga wakiengeji

    Karibu tukuhudumie!
  11. Baba Vladmir

    JamiiForums Tanzania Tiba ya hernia kwa Mzee miaka65 korodani zinamuuma sana

    Karibu kwenye ulimwengu wa mitishamba!
  12. Baba Vladmir

    JamiiForums Tanzania Msaada: Dawa ya nyama za pua

    Ndiyo
  13. Baba Vladmir

    JamiiForums Tanzania Kwa aliyewahi kuugua ugonjwa wa herpes, tuelimishe unakuwaje

    Genital herpes ni kirusi.Kwa hiyo si ugonjwa wa kawaida Kama wengi wanavyofikri.Hii huhitaji utafiti wa kutosha katika tiba yake ya mitishamba,si Jambo la kusema tu nina dawa inatibu!! Unaweza kutibu wagonjwa 50 na asipone hata mmoja!
Back
Top Bottom