Habari Wana jf
husika na kichwa cha habari juu, nauza nyumba chanika, njiapanda ya nyeburu upande wa mkono wa kulia ukitokea ngongolamboto, ipo jirani na shule ya DOCTOR ELIMU, ina vyumba viwili vya kulala kimoja wapo ni master, sehemu ya chakula na sebule ya kutosha, ina fensi upande mmoja...