Dah umejua kunifurahisha namna ulivyomjibu huyo pimbi anaekurupuka tu kuparamia hoja bila ujuzi.
Lakini pia usitumie nguvu kubwa sana kumwelewesha mtu ambae haijui hata hiyo local physics tunayopewa shule zetu za giza.
"Dunia nzima" "gen z hawataki tena ishu za dini." Hivi hizi data ni Kwa takwimu ipi na iliyofanyika wapi.? Maana humu humu ndani ya uzi uchangiaji umejaa mirengo ya kidini tena haswa kwa upande wa wasiokuwa waislamu,je unataka kusema hawa pia si Gen z,na je kwako wewe ukisema dunia nzima...
Mliteseka na mtateseka sana na uislamu lakini kamwe hamtouweza si kuudidimiza wala kuutia dosari
Mlosema ni mabwana wakubwa zenu na mkawaiga katika dini yenu ya uongo ndio hao walowatendea ngono visivyo watoto wadogo wasio na hatia. Epstein.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.