Recent content by Baba Star

  1. B

    Onyo: Jesca Kishoa wa CHADEMA-Iramba,viongozi na chama chako wameshindwa huu mziki

    wewe unaonekana kabisa sio kijana, na kama ni kijana, hujitambui, Inshallah utajitambua siku moja!
  2. B

    Onyo: Jesca Kishoa wa CHADEMA-Iramba,viongozi na chama chako wameshindwa huu mziki

    Huyu anatukana wa Iramba kuwa hawana mbadala, wanairamba mpo? ni kweli Mwihulu mmempa haki miliki ya jimbo, Rombo walikataa haya majigambo wakammwaga Mramba
  3. B

    Mtu asiyejulikana agawa fedha jijini Dar

    Unategemea wananchi wafanyeje wakati hata viongozi wao ambao watakiwe wawe visionary wameuza nchi kwa vyandarua vyenye dawa, hilo ndilo taifa tunalojenga - "Petty" society
  4. B

    Eti jeneza la huyu linafunguliwa kwa rimoti

    Kweli huu ni msiba na unamuumiza yeyote anayehusika, hata wale wasiohusika wanaguswa na jinsi kilivyotokea ila kuna mambo yanayokera katika hili, kufuru isiyokuwa na maana na watu kuanza kumkumbuka Mungu wakati jambo fulani zito limewatokea. Kabla na baada ya tukio; hakuna kanisa, hakuna msikiti...
  5. B

    Kauli ya Chagonja juu ya Nassari

    Ndio maana tunahitaji system overhaul, ni ngumu kuingia akilini kwa mtu yeyote kwamba kiongozi wa nagzi ya juu kama huyu anatoa kauli ambayo hakuipima, na yenye kumuaibisha hata yeye mwenyewe namna hii. Kuongea kunahitaji weledi na ubunifu wa hali ya juu na kupima madhara ya kile unachosema...
Back
Top Bottom